Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Salaaam Wananchi Wenzangu,
Kwa masikitiko makubwa timu yangu Pendwa ya Wananchi Dar Young Africans imesajili wachezaji wapya lakini jezi wanazovalishwa ni za Zamani.
Kwa nini Eng. Hersi Saidi ambaye mara nyingi anatuhumiwa kwa uongo alituahidi kuwa kwenye kilele cha siku ya Wananchi zitatambulishwa Jezi mpya lakini hatimae akatambulishwa Komando Hermonize badala ya Jezi mpya?
Watani zetu Simba walituonya mapema kuwa GSM hawatotoa Jezi mpya mpaka Stock za zamani iishe lakini tuliwabishia, ona sasa tunavyoumbuka.
Eng. Hersi saidi Mimi nikiwa Mwanachama halisi wa Timu yangu pendwa ya Yanga naomba utueleze Wananchi kuhusu mustakbali wa Jezi mpya! Kuna Mtu aliumislead uingozi akawaambia kuwa Mashabiki wa Yanga nchini wapo 20M tukachapisha Jezi 5M hatimae zimenunuliwa only 115K.
Mzigo wa 4885 upo Stoo unasibiriwa umalize ingawa mategemeo ya kumaliza hakuna.
Haiwezekani Simba avae Jezi mpya halafu sisi tuvae Used.
Kwa masikitiko makubwa timu yangu Pendwa ya Wananchi Dar Young Africans imesajili wachezaji wapya lakini jezi wanazovalishwa ni za Zamani.
Kwa nini Eng. Hersi Saidi ambaye mara nyingi anatuhumiwa kwa uongo alituahidi kuwa kwenye kilele cha siku ya Wananchi zitatambulishwa Jezi mpya lakini hatimae akatambulishwa Komando Hermonize badala ya Jezi mpya?
Watani zetu Simba walituonya mapema kuwa GSM hawatotoa Jezi mpya mpaka Stock za zamani iishe lakini tuliwabishia, ona sasa tunavyoumbuka.
Eng. Hersi saidi Mimi nikiwa Mwanachama halisi wa Timu yangu pendwa ya Yanga naomba utueleze Wananchi kuhusu mustakbali wa Jezi mpya! Kuna Mtu aliumislead uingozi akawaambia kuwa Mashabiki wa Yanga nchini wapo 20M tukachapisha Jezi 5M hatimae zimenunuliwa only 115K.
Mzigo wa 4885 upo Stoo unasibiriwa umalize ingawa mategemeo ya kumaliza hakuna.
Haiwezekani Simba avae Jezi mpya halafu sisi tuvae Used.