jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 623
- Thread starter
-
- #21
MNA ubav wa ndege kiasi hicho? mbn mkoa wenu n wa tatu kwa umaskin hizo mbwembwe za kudanganya malofaHa ha ha mabasi yanajaa! Kweli wa kaskazini wachovu sisi Wahaya tunajaza ndege buana...na foleni kupungua ni sisi Wahaya buana wakati sisi tumetangulia na ndege madereva wanakuja na zile bmw,benz,range rover ili tukazitumie kule kijijini!
Huyu ni wale majambazi...Duh! kibibi mbona povu hivi au haurudi tena huku?
Hutaki unaacha....hata majambazi wanapungua mkuu!MNA ubav wa ndege kiasi hicho? mbn mkoa wenu n wa tatu kwa umaskin hizo mbwembwe za kudanganya malofa
hamna ubavu huo mkoa wenu n maskin kbsTatatibu usije kupata heart attack kwa hilo povu.
Hata kama sio jambazi atakuwa anaishi kwa ujanjaujanja sana hapa bongo sio kwa mipovu ile.Huyu ni wale majambazi...
Sio kweli mkuu sisi Wahaya ndio tumepunguza foleni mjini. Halafu wewe lazima ulikuwa mhaya kwanza kabla ya kuwa mchaggahamna ubavu huo mkoa wenu n maskin kbs
Ana hasira kweli kweli...Hata kama sio jambazi atakuwa anaishi kwa ujanjaujanja sana hapa bongo sio kwa mipovu ile.
majambaz kMa wale wa escrow au?Hutaki unaacha....hata majambazi wanapungua mkuu!
HahahahaKwa sababu wahaya na wakazkasin wamesoma lakin wakazkasin elimu yao imewasaidia wakapiga hatua kutoka sehemu moja kwenda nyingine lakin wahaya elimu yao haijawasaidia zaid ya kubaki kuongea kingeleza wakilewa wakati maisha yao ni choka mbaya
Mkoa wao ndo Mkoa masikin wakat wao ndo wasomi
Wako mwanza kama watumwa kaz zao ni kuuza mitumba mnadan juan kwa kifupi elimu yao haijawasaidia
Nazan umenipata
Duh kwahiyo washikaji huwaga ni majambazHuyu ni wale majambazi...
Hapana wale wa escrow wasomi...majambazi wa mtutumajambaz kMa wale wa escrow au?
Akina nani?Duh kwahiyo washikaji huwaga ni majambaz
Unigambire shtyupidi inifuronti of mai waiifu?Watu wa kazkasin wako vizur sana na hawajitapi kama ndugu zangu wahaya ambao ni choka mbaya kazi kuongea lugha ya malkia wakati mifuko haina kitu
mmepinguza folen kivp wakati nyie hamdhamin kwenuSio kweli mkuu sisi Wahaya ndio tumepunguza foleni mjini. Halafu wewe lazima ulikuwa mhaya kwanza kabla ya kuwa mchagga
Ndo mlichobakisha wahayaUnigambire shtyupidi inifuronti of mai waiifu?
WakaskazinAkina nani?
uzi umemgeuka alikuwa anatafuta kiki.Ana hasira kweli kweli...
Ah wapi...hujafika bukoba wewe.mmepinguza folen kivp wakati nyie hamdhamin kwenu
mngekuwa mnathamn kwenu pale bukoba pangechakaa vile?
mmebaki kuongea kiingereza kibovu bovu na sifa uchwara nenda klmnjaro ushuhudie migorfa mgombani