theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Pesa kwanza huduma baadae....Ha ha ha ha pesa kwanza...
Tunafanana nami nilitaka kujua naona wanazungumzia arusha na Moshi tu kaskazini mwa Tanzaniakunaanzia wapi na inaishia wapiDah... kwani watu wa kaskazini wanaanzia wapi? ..kuuliza si ujinga[emoji14] [emoji87]
Aisee huwapendi wahaya, ila wanapenda misifa sana.Kwa sababu wahaya na wakazkasin wamesoma lakin wakazkasin elimu yao imewasaidia wakapiga hatua kutoka sehemu moja kwenda nyingine lakin wahaya elimu yao haijawasaidia zaid ya kubaki kuongea kingeleza wakilewa wakati maisha yao ni choka mbaya
Mkoa wao ndo Mkoa masikin wakat wao ndo wasomi
Wako mwanza kama watumwa kaz zao ni kuuza mitumba mnadan juan kwa kifupi elimu yao haijawasaidia
Nazan umenipata
Hawa wanaanzia kaskzini mwa Tz. Kujibu si kukuridhisha na jibuDah... kwani watu wa kaskazini wanaanzia wapi? ..kuuliza si ujinga[emoji14] [emoji87]
In reality mikoa iliyo real north ni, ARUSHA & MKOA WA MARA.. hiyo mingine n geresha tuDah... kwani watu wa kaskazini wanaanzia wapi? ..kuuliza si ujinga[emoji14] [emoji87]
Wewe kibibi ushaoza hukonyuma unatuletea harufu chafu tu hapa.kumbe biashara yako n 0712 eeh pole zako
huo ugoro uliovuta utakuwa ume expireWatuuu wa kaskazn washambaaaa tuuuuu hasa waleeee waha-------------------------------ya daaaaa nomaa bora ataa msukumaaaaaaaaa
0712 haijawah muacha mtu salamaWewe kibibi ushaoza hukonyuma unatuletea harufu chafu tu hapa.
Hakuna mteja.
Unjisemeamwenyewe maneno ya biashara yako maaluni mkubwa we.0712 haijawah muacha mtu salama
big up kwako utamadun muruaMimi naondoka zangu ijumaa usiku ili nianze supu pale Mgagau mapeema ya kondoo,nikitoka hapo niingie pale mwanga kuchuku wale samaki wa nyumba ya mungu alafu baada ya hapo nikikunja pale himo natembea hadi majengo naaza ifunguwa Castle Lager nimalizapo hapo moja kwa moja Arusha pale Naura Spring kwa kuanza kuisubiri Home kesho ya Ambapo ni FIRE karibu na chimbo la kula mbuzi pale SiNoNi Karibu KASKAZINI
tangu kichwan kwako ulipogundulika una mdudu,n kuandka pumba,wah mirembeUnjisemeamwenyewe maneno ya biashara yako maaluni mkubwa we.
noma sanaJana naenda Ubungo kutafuta Bus to Arusha wanasema gari zimejaa hadi Tarehe 27. Nilisafiri Saa mbili usiku na Gari Private now nipo Arusha naendelea na shughuli zangu.
Kaangalie makwao walivyo jenga ndio useme hivyo. Mim nimetembelea Moshi vijijin karib yote, ni hiv huwa wanajenga makwao.. huko huko vijijini. Kuhus walev,mbona hata dar wanywa viroba wako wa kutosha? Hakuna mkoa ambao hauna walev. Usilite chuki binafsi.Wachagga kibao wako mjini hapa hawana mbele wala nyuma msilete uongo hapa. Huko milimani wanywa viroba kibao wasted.
Kwahio 100% ya Wachagga wote wana maisha mazuri? Kwani nimekwambia hakuna mkoa unawalevi? Kabla ya kuvamia post ya mtu isome na ujue kamjibu nani. Nimemjibu aliesema Wachagga wote wana maisha mazuri hapa mjini, SIO KWELI wapo kibao wana hali ngumu. Btw hii thread ishatupwa jukwaa la chit chat as I treated it.Kaangalie makwao walivyo jenga ndio useme hivyo. Mim nimetembelea Moshi vijijin karib yote, ni hiv huwa wanajenga makwao.. huko huko vijijini. Kuhus walev,mbona hata dar wanywa viroba wako wa kutosha? Hakuna mkoa ambao hauna walev. Usilite chuki binafsi.