Kwa hili watu wa Kaskazini wanaongoza kwa population Dar

mmepinguza folen kivp wakati nyie hamdhamin kwenu
mngekuwa mnathamn kwenu pale bukoba pangechakaa vile?
mmebaki kuongea kiingereza kibovu bovu na sifa uchwara nenda klmnjaro ushuhudie migorfa mgombani
Utaaibika sana ukifika bk
 
Acha uongo bk airport inachukua watu laki tano kwa mwaka hebu Goolgle sio porojo.halafu kia ni wa kimataifa na kumbuka tz kuna vitatu vya kimataifa tz inaitegemea hivyo .watu wanaoenda bk kwa ndege ni wengi sana ndo maana mkulu anawapanulia uwanja wa bk.ili ndege kubwa zitue pale
 
Wachaga ni namba nyingine aissee [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dah... kwani watu wa kaskazini wanaanzia wapi? ..kuuliza si ujinga[emoji14] [emoji87]


Kaskazini ni Arusha, Kilimanjaro na Manyara.

Ni jamii imara yenye kila kitu kasoro himaya.


Ila Arusha na Kilimanjaro ndiyo notoriously talked about because hapo ni jamii ya Wachagga imetawala na tamaduni zake zilizotukuka
 
ukitaka kujua akili zako hazifikirii,inawezekanaje uwanja usio wa kimataifa bukoba uzidi uwanja wa kimataifa kia kwa abiria?
unajua rank ya idadi ya abiria hadi uwanja uwe wa kimataifa? acha kujionyesha hadharan ulivyo empty
kwa taarifa yako kia watu laki 2 na nusu tu kwa mwaka bkba ilinyimwa hadhi ya kuwa uwanja wa kimataifa moja ya vigezo ilivyo feli n hicho cha idadi ya abiria kwa mwaka ndio maana mradi huo ulioitwa omukanjukuti international airport ulifutwa serkali haiwez pandsha hadhi uwanha unaochukua watu chin ya 50000 elfu kwa mwaka
utaenda kudanganya wasiojua bukoba
na ndege za kuja bukoba abiria wengi n wa mwanza bukoba mnadandia tu hakuna abiria ombeni mungu abiria wa mwanza wanawa escot
 
Kaskazini ni Arusha, Kilimanjaro na Manyara.

Ni jamii imara yenye kila kitu kasoro himaya.


Ila Arusha na Kilimanjaro ndiyo notoriously talked about because hapo ni jamii ya Wachagga imetawala na tamaduni zake zilizotukuka
100% truth
 
Utaaibika sana ukifika bk
bukoba nimekaa miez 5 kule kashai
pia pale njia panda ya mutukula rwamishenye napo nimekaa
bukoba imechakaa sana ndio inaonyesha hali halisi jinsi mlivyo yaan stand kuu ya mkoa vumbi hata stand ya kijiji changu haipo hivyo
 
bukoba nimekaa miez 5 kule kashai
pia pale njia panda ya mutukula rwamishenye napo nimekaa
bukoba imechakaa sana ndio inaonyesha hali halisi jinsi mlivyo yaan stand kuu ya mkoa vumbi hata stand ya kijiji changu haipo hivyo
Ila akili yako haiko sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…