Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Zahera alikuwa na bado ni kocha mzuri na msemaji wa team ambye hatujawahi pata.zahera alikuwa pia mfadhili akionesha mapenzi yake ya dhati kwa yanga.
Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua kiswahili na anajua kuongea cha kuwapa wao waandike.yanga tunamfukuza.huu ni wendawazimu.tuna wasiwas ndani ya yanga kuna wanasimba.
Mara ngapi zahera katoka pesa yake kununulia wachezaji chapati?au kuwasaidia kupanda ndege?leo mnafukuza zahera kama mbwa.
Sisi tulishamuunga mkono kuvaa vipensi.nakumbuka mimi nmeshakata jeans zangu tatu ziwe vipensi.sasa ntavalia wapi?huu ni upuuzi.
Zahera tungemtumia kama kocha,msemaji wa team na mfadhili.tungepata watu watatu ndani ya mtu mmoja.leo mnamfukuza?hizi ni hujuma za simba
idiot!!!Zahera alikuwa na bado ni kocha mzuri na msemaji wa team ambye hatujawahi pata.zahera alikuwa pia mfadhili akionesha mapenzi yake ya dhati kwa yanga.
Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua kiswahili na anajua kuongea cha kuwapa wao waandike.yanga tunamfukuza.huu ni wendawazimu.tuna wasiwas ndani ya yanga kuna wanasimba.
Mara ngapi zahera katoka pesa yake kununulia wachezaji chapati?au kuwasaidia kupanda ndege?leo mnafukuza zahera kama mbwa.
Sisi tulishamuunga mkono kuvaa vipensi.nakumbuka mimi nmeshakata jeans zangu tatu ziwe vipensi.sasa ntavalia wapi?huu ni upuuzi.
Zahera tungemtumia kama kocha,msemaji wa team na mfadhili.tungepata watu watatu ndani ya mtu mmoja.leo mnamfukuza?hizi ni hujuma za simba
kamuajiri amfundishe mkeo
Hawa watu ni wasengelema ,walikuwa wanampenda eti ni mfanyabiashara,eti siyo kocha mara sijui nini ,leo hii wanamtetea.Halafu kwanini wasihangaike yao ya Yanga waachie Yanga wenyewe?
Au wamlipe wao hayo wanayoyaita madeni aliyokuwa anaisaidia Yanga.Kama inawauma sana,mchukueni nyie mikia
Tena kwa vile alivyojiongelesha jana kule redioni basi kila mbumbumbu anamuonea huruma eti.Mashabiki wa mbumbu walikuwa wanqmponda Mwinyi lakini sahizi wanajifanya kumsifia
Wachawi tu kasoro zana mashabiki wa mbumbumbuTena kwa vile alivyojiongelesha jana kule redioni basi kila mbumbumbu anamuonea huruma eti.
Viingozi wa Yanga wamekurupuka sana kumfukuza kocha, na hii dhambi haitawaacha salama, ndani ya Yanga kuna matatizo zaidi ya Zahera.Zahera alikuwa na bado ni kocha mzuri na msemaji wa team ambye hatujawahi pata.zahera alikuwa pia mfadhili akionesha mapenzi yake ya dhati kwa yanga.
Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua kiswahili na anajua kuongea cha kuwapa wao waandike.yanga tunamfukuza.huu ni wendawazimu.tuna wasiwas ndani ya yanga kuna wanasimba.
Mara ngapi zahera katoa pesa yake kununulia wachezaji chapati?kuwanunulia chips kavu?au kuwasaidia kupanda ndege?leo mnafukuza zahera kama mbwa.
Sisi tulishamuunga mkono kuvaa vipensi.nakumbuka mimi nmeshakata jeans zangu tatu ziwe vipensi.sasa ntavalia wapi?huu ni upuuzi.
Zahera tungemtumia kama kocha,msemaji wa team na mfadhili.tungepata watu watatu ndani ya mtu mmoja.leo mnamfukuza?hizi ni hujuma za simba
Wamekosa hoja,kama wanampenda sana wamchukueAu wamlipe wao hayo wanayoyaita madeni aliyokuwa anaisaidia Yanga.