Kwa hili Yanga tunajitafutia Matatizo tu

Kwa hili Yanga tunajitafutia Matatizo tu

Zahera alikuwa na bado ni kocha mzuri na msemaji wa team ambye hatujawahi pata.zahera alikuwa pia mfadhili akionesha mapenzi yake ya dhati kwa yanga.

Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua kiswahili na anajua kuongea cha kuwapa wao waandike.yanga tunamfukuza.huu ni wendawazimu.tuna wasiwas ndani ya yanga kuna wanasimba.

Mara ngapi zahera katoka pesa yake kununulia wachezaji chapati?au kuwasaidia kupanda ndege?leo mnafukuza zahera kama mbwa.

Sisi tulishamuunga mkono kuvaa vipensi.nakumbuka mimi nmeshakata jeans zangu tatu ziwe vipensi.sasa ntavalia wapi?huu ni upuuzi.

Zahera tungemtumia kama kocha,msemaji wa team na mfadhili.tungepata watu watatu ndani ya mtu mmoja.leo mnamfukuza?hizi ni hujuma za simba

Tuwape muda ndugu hawa january tunapiga bakora.
 
Zahera alikuwa na bado ni kocha mzuri na msemaji wa team ambye hatujawahi pata.zahera alikuwa pia mfadhili akionesha mapenzi yake ya dhati kwa yanga.

Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua kiswahili na anajua kuongea cha kuwapa wao waandike.yanga tunamfukuza.huu ni wendawazimu.tuna wasiwas ndani ya yanga kuna wanasimba.

Mara ngapi zahera katoka pesa yake kununulia wachezaji chapati?au kuwasaidia kupanda ndege?leo mnafukuza zahera kama mbwa.

Sisi tulishamuunga mkono kuvaa vipensi.nakumbuka mimi nmeshakata jeans zangu tatu ziwe vipensi.sasa ntavalia wapi?huu ni upuuzi.

Zahera tungemtumia kama kocha,msemaji wa team na mfadhili.tungepata watu watatu ndani ya mtu mmoja.leo mnamfukuza?hizi ni hujuma za simba
idiot!!!
 
Mlipeni pesa zake...madhulumati nyie.majizi na majambawazi makubwa.mtu amewafadhili leo hii mnamfanyia hivyo.kweli mfadhili mbuzi unaweza ukampika ukapata nyama na mchuzi binadamu utaambulia mashuzi tu. Mpeni pesa zake.na dante alipwe pesa zake pia.dada nlikuwa nakuheshimu sasa nmekuja gundua nawe mwizi mmesikitika sana.

kamuajiri amfundishe mkeo
 
Mlipeni pesa zake...madhulumati nyie.majizi na majambawazi makubwa.mtu amewafadhili leo hii mnamfanyia hivyo.kweli mfadhili mbuzi unaweza ukampika ukapata nyama na mchuzi binadamu utaambulia mashuzi tu. Mpeni pesa zake.na dante alipwe pesa zake pia.dada nlikuwa nakuheshimu sasa nmekuja gundua nawe mwizi ñmesikitika sana


Hawa watu ni wasengelema ,walikuwa wanampenda eti ni mfanyabiashara,eti siyo kocha mara sijui nini ,leo hii wanamtetea.Halafu kwanini wasihangaike yao ya Yanga waachie Yanga wenyewe?
 
Mashabiki wa mbumbu walikuwa wanqmponda Mwinyi lakini sahizi wanajifanya kumsifia
 
Zahera alikuwa na bado ni kocha mzuri na msemaji wa team ambye hatujawahi pata.zahera alikuwa pia mfadhili akionesha mapenzi yake ya dhati kwa yanga.

Waandishi wa habari walimpenda sababu anajua kiswahili na anajua kuongea cha kuwapa wao waandike.yanga tunamfukuza.huu ni wendawazimu.tuna wasiwas ndani ya yanga kuna wanasimba.

Mara ngapi zahera katoa pesa yake kununulia wachezaji chapati?kuwanunulia chips kavu?au kuwasaidia kupanda ndege?leo mnafukuza zahera kama mbwa.

Sisi tulishamuunga mkono kuvaa vipensi.nakumbuka mimi nmeshakata jeans zangu tatu ziwe vipensi.sasa ntavalia wapi?huu ni upuuzi.

Zahera tungemtumia kama kocha,msemaji wa team na mfadhili.tungepata watu watatu ndani ya mtu mmoja.leo mnamfukuza?hizi ni hujuma za simba
Viingozi wa Yanga wamekurupuka sana kumfukuza kocha, na hii dhambi haitawaacha salama, ndani ya Yanga kuna matatizo zaidi ya Zahera.
 
Mi nilipendekeza wangemuachisha kazi kwa makubaliano tu yaani kwa kuafikiana nae na sio kumfukuza kama mhaini
fulani.
Wangezungumza naye Kama walivyofanya Simba SC kwa Masudi Juma.
Kitendo cha kumtupia vilago sio cha kiungwana.
Lakini nasikia ndio Yanga walivyo.
 
Back
Top Bottom