Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa KUTIMIZA WAJIBU wake kwa kuhakikisha Tanzania nzima inao mtandao wa mwanga wa nishati ya umeme karibu Miji na Vijiji vyote.
Tunaweza kuona ni jambo dogo lakini kwa wenzetu hiyo ni habari kubwa na maendeleo ya kupigiwa mfano!
Leo hii Nchi yetu yapo mambo baadhi tunaweza kujivunia kama Taifa pasipo kujali Itikadi zetu. Mtandao mpana wa barabara za lami na mtandao wa umeme hadi vijijini ni mambo yanayotupasa tujivunie kama Taifa.
Kwa mara nyingine, naipongeza Serikali kwa kutimiza wajibu wake kwalo.
TANESCO
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa KUTIMIZA WAJIBU wake kwa kuhakikisha Tanzania nzima inao mtandao wa mwanga wa nishati ya umeme karibu Miji na Vijiji vyote.
Tunaweza kuona ni jambo dogo lakini kwa wenzetu hiyo ni habari kubwa na maendeleo ya kupigiwa mfano!
Leo hii Nchi yetu yapo mambo baadhi tunaweza kujivunia kama Taifa pasipo kujali Itikadi zetu. Mtandao mpana wa barabara za lami na mtandao wa umeme hadi vijijini ni mambo yanayotupasa tujivunie kama Taifa.
Kwa mara nyingine, naipongeza Serikali kwa kutimiza wajibu wake kwalo.
TANESCO