Kwa hio unataka kuniambia ni roho chafu na dhambi zangu ndio chanzo cha majanga yangu huku anaenihubiria amenunua gari kali kwa kutumia sadaka zangu!

Kwa hio unataka kuniambia ni roho chafu na dhambi zangu ndio chanzo cha majanga yangu huku anaenihubiria amenunua gari kali kwa kutumia sadaka zangu!

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
306
Reaction score
706
20241209_131901.jpg


Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.

Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika

Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....

Wajinga ndiyo waliwao...

Shika sana ulichonacho asije nyumbu akakunyang'anya...

Mtasikia Leo nipo hapa,Mara nipo pale ...manabii wa uongo walishatabiriwa kitambo..

Imani isikufanye uwe boya🚮
Na mtanyooka
 
Huyo jamaa na wengine aina yake huwa nawakubali sana. Wanatumia vyema fursa za ujinga wa wajinga kujipatia kipato. Ni majiniaz mno.

Wajinga wanaokwenda kwa hao watu hakuna kitu watapata eti kwa sababu waliombewa. Mimi siombi, siombewi, sisali, simshukuru huyo mnayemwita Mungu na wala simuamini lakini sina stress kuhusu kipato. Wajinga wafanye kazi kwa bidii inaweza kusaidia. Waachane na upuuzi wa kuombewa.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....

Wajinga ndiyo waliwao...

Shika sana ulichonacho asije nyumbu akakunyang'anya...

Mtasikia Leo nipo hapa,Mara nipo pale ...manabii wa uongo walishabiriwa kitambo..

Imani isikufanye uwe boya🚮
Na mtanyooka
Hakika , yani mtu ananunua gari ambayo hata motaji ya nusu ya kanisa lake wakikusanya hawawezi nunua ila bado anaenziwa

BIG NO
 
View attachment 3173038

Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.

Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika

Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu
ukweli mchungu
ila wote tungelijua hili
Kwamba wanatutumia!
 
Huyo jamaa na wengine aina yake huwa nawakubali sana. Wanatumia vyema fursa za ujinga wa wajinga kujipatia kipato. Ni majiniaz mno.

Wajinga wanaokwenda kwa hao watu hakuna kitu watapata eti kwa sababu waliombewa. Mimi siombi, siombewi, sisali, simshukuru huyo mnayemwita Mungu na wala simuamini lakini sina stress kuhusu kipato. Wajinga wafanye kazi kwa bidii inaweza kusaidia. Waachane na upuuzi wa kuombewa.
Mzee wangu aliwahi kuniambia hawa watu wapo kazini kama watu wengine

Sasa maboya ndio wateja wao
 
Back
Top Bottom