Yeah... ni trick tuHaha au sio mkuu
Unajua mkuu maisha haya nimegundua bila mbinu hautoboi , hakika mkuu
Yani mtu anakula maisha kwa ktumia michango yenu alafu wewe unabaki kujiulza uliza hivi umekosea wapi kwa Mungu.
NAKAZIA 🔨Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....
Wajinga ndiyo waliwao...
Shika sana ulichonacho asije nyumbu akakunyang'anya...
Mtasikia Leo nipo hapa,Mara nipo pale ...manabii wa uongo walishabiriwa kitambo..
Imani isikufanye uwe boya🚮
Na mtanyooka
Hakika , yani mtu ananunua gari ambayo hata motaji ya nusu ya kanisa lake wakikusanya hawawezi nunua ila bado anaenziwaWatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....
Wajinga ndiyo waliwao...
Shika sana ulichonacho asije nyumbu akakunyang'anya...
Mtasikia Leo nipo hapa,Mara nipo pale ...manabii wa uongo walishabiriwa kitambo..
Imani isikufanye uwe boya🚮
Na mtanyooka
Mpaka dawa iwakolee🤒NAKAZIA 🔨
ukweli mchunguView attachment 3173038
Kwamba yeye ndie mwenye neema kuu ya Mungu basi kwa hio yeye na utajiri ni pua na mdomo.
Mimi naendeleea kuwa hivyo kwa maana imani yangu ni haba, sijui kuomba vizuri, sijui kuvumilia , nasali kwa kulalamika
Ebu tuwe serious bana, nyie wote ni wasela ila yeye kawa mjanja zaidi yako. Kila siku anakupa points za kujitathmini na kujicrriticize ili ujione una mapepo na haukko katika mikono ya Mungu kikamilifu
Mzee wangu aliwahi kuniambia hawa watu wapo kazini kama watu wengineHuyo jamaa na wengine aina yake huwa nawakubali sana. Wanatumia vyema fursa za ujinga wa wajinga kujipatia kipato. Ni majiniaz mno.
Wajinga wanaokwenda kwa hao watu hakuna kitu watapata eti kwa sababu waliombewa. Mimi siombi, siombewi, sisali, simshukuru huyo mnayemwita Mungu na wala simuamini lakini sina stress kuhusu kipato. Wajinga wafanye kazi kwa bidii inaweza kusaidia. Waachane na upuuzi wa kuombewa.
Na ndiyo maana mwamposa anaishia kuwatomber tu...Hakika , yani mtu ananunua gari ambayo hata motaji ya nusu ya kanisa lake wakikusanya hawawezi nunua ila bado anaenziwa
BIG NO
Sad,bad yaan worseHela za partners na mafungu ya kumi.
Siku hizi makanisa yana partners, 24/7 call centers...
Business is booming.
hahaha kuna watu sijui wana_akili gani huwaambii kitu kuhusu hao matapeli.Mpaka dawa iwakolee🤒
Huenda na dawa pia manabii hutumia kuwapumbazahahaha kuna watu sijui wana_akili gani huwaambii kitu kuhusu hao matapeli.