Nasikia yuko kwnye dark world kitambo..Sio sadaka tu huyo jamaa muone tu hivyo
Mi nafikiri bado hujaufungua ufahamu wako kujua undani wako! Unatumia few details kuendelea kudanganya watu na pengine we kudanganywa kuwa MUNGU hayupo!? MUNGU yupo sana tuu... Ni vile hujui Njia sahihi ya kumfikia na si pekeako wengi huishia ku assume hayupo kwa7bu hawana Njia ya kumfikia Wala kumjuaKwa sababu yeye ndiye kamtaja Mungu, mimi sijamtaja.
Anayeanzisha dai kwamba kuna Mungu ndiye mwenye burden of proof.kuthibitisha Mungu yupo kweli.
Hujathibitisha Mungu yupo, unahubiri Mungu yupo.Mi nafikiri bado hujaufungua ufahamu wako kujua undani wako! Unatumia few details kuendelea kudanganya watu na pengine we kudanganywa kuwa MUNGU hayupo!? MUNGU yupo sana tuu... Ni vile hujui Njia sahihi ya kumfikia na si pekeako wengi huishia ku assume hayupo kwa7bu hawana Njia ya kumfikia Wala kumjua
"Mtu ukihitaji uthibitisho inabid useme unahitaji uthibitisho aina gani?"Hujathibitisha Mungu yupo, unahubiri Mungu yupo.
Unapoanza na "mimi nafikiri..." tayari umeshatuonesha hutuambii habari za impartial facts, unatuambia unachofikiri wewe tu, fikra zako tu ambazo hazina uthabiti.
Thibitisha Mungu yupo, acha kutuambia unachofikiri tu.
Ninahitaji uthibitisho:-"Mtu ukihitaji uthibitisho inabid useme unahitaji uthibitisho aina gani?"
Mkuu unaweza kutuambia origin ya mwanadamu imetokea wapi?Mpaka sasa hakuna mtu aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo.
Naam, tunaweza kwenda kote huko.Mkuu unaweza kutuambia origin ya mwanadamu imetokea wapi?
Kama unapinga uwepo wa Mungu, bhas utuambie chanzo cha huu ulimwengu ni kipi
Daah! Bro Kiranga! Unaishi kwenye utaratibu wko wa kisayansi!! Duniani hapa si kila mtu anaishi kweny maisha unayoyaona kwa macho! Halafu uthibitisho unaotaka wew kwa Njia unazotaka wew! Hizo procedure za utafiti ni za kwao hata wew waweza kuwa na procedure zako.... Usilazimishe upate uthibitisho kwa Njia yako wewNinahitaji uthibitisho:-
1. Ulio logically consistent (habari yoyote yenye logical inconsistency si uthibitisho).
2. Unaoweza kuwa verified independently (hapa kwa mfano habari za "personal experience" zisizoweza kuwa verified independently si uthibitisho).
3. Usioweza kuwa contradicted ( habari za Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anayeweza kuwa contradicted na Epicurean oaradox/problem of evil si uthibitisho).
Majaribio yote ya kumuelezea Mungu hayapo logically consistent, hayawezi kuwa verified independently, na yanaweza kuwa contradicted.
Kwanza kabisa, huo si uthibitisho ninaoutaka mimi.Daah! Bro Kiranga! Unaishi kwenye utaratibu wko wa kisayansi!! Duniani hapa si kila mtu anaishi kweny maisha unayoyaona kwa macho! Halafu uthibitisho unaotaka wew kwa Njia unazotaka wew! Hizo procedure za utafiti ni za kwao hata wew waweza kuwa na procedure zako.... Usilazimishe upate uthibitisho kwa Njia yako wew
Daah kwahio wew unataka uthibitisho unaotaka wew!!π π ...! Labda tu nikusaidie ndugu:Kwanza kabisa, huo si uthibitisho ninaoutaka mimi.
Huo ni uthibitisho wa kimantiki katika kutafuta ukweli.
Umekuwa hivyo hivyo kabla mimi sijazaliwa na utaendelea kuwa hivyo nikifa, usiuite uthibitisho wangu. Ukiuita hivyo unakuwa unaudogosha kama ni uthibitisho wangu tu, nimeweka masharti yangu mimi tu.
Hiyo ni mantiki ya ukweli.
Umeelewa?
Bado hujathibitisha Mungu yupo kwa njia yoyote.Daah kwahio wew unataka uthibitisho unaotaka wew!!π π ...! Labda tu nikusaidie ndugu:
Wew umerelay kweny scientific research!
" Usichofahamu ni hiki, hizo stages za research ni mtu alizitunga tena mtu Kama wew" hivyo Kuna critics kibao kwenye procedure zake:
Nikusaidie namna aina tofauti za uthibitisho labda:
1. Uthibitisho wa taaluma
2. Uthibitisho wa kikawaida(common sense)
3. Uthibitisho wa kiroho (spiritual power)
4. Uthibitisho wa kihisia (kutumia milango ya fahamu) instinct.
5. Uthibitisho wa kiuwepo wa jambo Fulani
Ukibase kweny uthibitisho kwa kutumia mfumo mmoja wa uthibitisho wew bado hujapanua ubongo wako kweny kufikiri! We still seek GOD who created all this we see and we don't see! And the right way to reach him. Let's search for that kuliko kubisha with alot of English grammars kweny text zako.
....I stnd to be corrected..
π€£π€£π€£....watu mmepindaa aiseeNa ndiyo maana mwamposa anaishia kuwatomber tu...
Sadaka ya kujimaliza unatoa na kitombo unapata...
Chezea mnyakyusa wewe π₯΄
sema jamaa Ameona mke mzuri bhnNa ndiyo maana mwamposa anaishia kuwatomber tu...
Sadaka ya kujimaliza unatoa na kitombo unapata...
Chezea mnyakyusa wewe π₯΄