Uchaguzi 2020 Kwa historia ya CHADEMA na tabia zao kuna uwezekano wanajifanyia vurugu ili wapate huruma

Uchaguzi 2020 Kwa historia ya CHADEMA na tabia zao kuna uwezekano wanajifanyia vurugu ili wapate huruma

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
 
Kada mwenzenu wa ccm aliefariki kwenye fujo ziliizotokea bomang'ombe,,, Mungu ameamua kumfufua ili aje atoe ushuhuda na kuwahasa vijana wenzie waache kutumika kisiasa na chama tawala
 
Katika hali ya kawaida,Kama Ni chadema wamechoma office yao wenyewe,uchunguzi wa police utaleta majibu baada ya watuhumiwa kukamatwa.Otherwise tulia na subiri...na uache propaganda zako zenye ufinyu wa shule.
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
 
TUNDU LISSU RAISI WETU MTARAJWA TUNAKUSUBIRI KWA HAMU KUBWA
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
ACHENI HILA! VURUGU WASIFANYE MIAKA YOTE 5 YA KUPIGWA PINI NDO WAJE WAZIFANYE LEO TENA KIPINDI HUSIKA CHA LUAMZA KAMPENI.

KAMA MMEBANWA KUBALINI HII NCHI NI YA WANANCHI NA WAO NDO WAKUAMUA DESTINY YA NCHI YAO.
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
Njaa yako ndio tatizo lako. Wahurimie wana Bukoba wenzako walioambiwa “kwani mimi ndio nilileta tetemeko?”
 
Ndugu hao sawa wana madhaifu kama vyama vingine lkn hili la kujikimu huwa nalikataa. Roho za watu zilipotea pale Soweto kwa justification kama hizi, shambulio la Lissu..... kwamba wako juu ya sheria??
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
Nyerere angewaacha tu IDD AMIN awawowe nyambafu kuliko kupoteza maisha ya vijana wa Kitanzania
 
Ccm imezika misingi yote aliyoiacha baba wa taifa, wale vijana walilipwa na sabaya 20,000 kila mmoja kwa kurusha mawe msafara wa lissu
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
Mhuni huyu naye analipwa buku 7 kwa Kodi za wananchi!!!
 
Ukweli
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
That is what they are doing
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
Kwa iyo Chadema ndo wamefanya fujo mbele ya OCD wa CCM???

Kwa iyo Chadema ndo wamemkamata Sugu Jana pale Mbeya wakati anachukua fomu????

Siku hizi mtu akiwa CCM anakuwa na akili kama ya Panzi vile!!!
 
Back
Top Bottom