Uchaguzi 2020 Kwa historia ya CHADEMA na tabia zao kuna uwezekano wanajifanyia vurugu ili wapate huruma

Uchaguzi 2020 Kwa historia ya CHADEMA na tabia zao kuna uwezekano wanajifanyia vurugu ili wapate huruma

Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
Hao ni Chadema?
 
..angalia video hii kutokea dakika ya 2:00 utamjua nani ameanzisha vurugu.

 
Hao ni Chadema?

Usipoteze muda wako, potezea. Ruttashobokerwa na Kagemro ni majuha wawili kutoka machweo ya jua. Uncouth, uncivilized, uncircumcised, unschooled, uneducated, unpolished nincompoops and imbeciles ever existed!
 
Pole!!! Maana mwili unapata shiɗa ƙuɓeɓelea likichwa lisilo msaaɗa ƙwa mwili...😡
 
Umri wako, elimu yako

Unatembe mjini umebeba bichwa kubwa kumbe unatumia kama mtungi wa mate na mfuko wa kubebea meno.

Elimu yetu ina matatizo mengi kwenye mtaala.
Hayo yote ni kwasababu kaizungumzia vby Chadema.?
Na haya ndo maisha yenu, matusi na vurugu ndo hulka yenu.Unataka kila mtu akubaliane na maigizo yenu.? kwani Makengeza hakuwa amelewa,wakati anateguka mguu.?
Msiwe kama kenge jamani.
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!

Akili zako ndo zimeishia hapo bro??

Ndo tatizo la kulelewa na kucheza na watoto wa kike sana ukiwa mdogo madhara ndo haya,,
 
Hayo yote ni kwasababu kaizungumzia vby Chadema.?
Na haya ndo maisha yenu, matusi na vurugu ndo hulka yenu.Unataka kila mtu akubaliane na maigizo yenu.? kwani Makengeza hakuwa amelewa,wakati anateguka mguu.?
Msiwe kama kenge jamani.

Huna totauti na nzi wa chooni
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
Wanajitekenya na kucheka mwenyewe
 
Tunajua sana wala usijali
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
 
Wasalaam!

Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa!

CHADEMA wamekuwa wakifanya mikusanyiko bila kuzingatia sheria wanaachwa na mfano ni mapokezi ya Lissu

CHADEMA wamekuwa wakifanya maandamano bila kuzingatia sheria mfano maandamano ya Lissu

Pamoja na hayo yote Serikali na jeshi la polisi wamekuwa wakikaa kimya!

Ukweli ni kwamba chadema hawawezi kufanya siasa bila kufanya vurugu au kuleta vurugu kwa njia yeyote ile....

Lazima watu wajiulize kwanini mawe hayakurushwa kwenye ujio wa Lissu?

Hao warusha mawe walikuwa wapi na chadema na wafuasi wao walikuwa wapi?

Huko kuchoma ofisi mlinzi alikuwa wapi?

CHADEMA wanajulikana ni watu wakupenda vurugu na matukio ili wapate kiki au huruma hata tukio la kupigwa mwenyekiti kila mtu baadae aligundua kuwa ilikuwa ni ulevi ila walitaka kupaka matope CCM na serikali!

Lazima watu wajue kuwa Chadema wanachukizwa na kukaaa kimya kwa CCM ni lazima watafute njia ya kutaka wajibiwe hawana njia zaidi ya kuzua matukio ili ionekane wamefanyiwa vurugu.

CHADEMA ni wanafanya maigizo!
Halafu wewe Ruttashobolwa kabila letu halinaga wapuuzi. Watu wasio na akili kama wewe.Unatudharirisha wahaya wenzio bana.
 
Jifanyeni hamnazo tu, cdm siasa za kikondoo sasa basi, tumeuwa greengad wawili ktk ujinga wenu huo wataazalishe babu zako mapema waache ujinga!
 
Wanatafuta huruma tu.
Kweli kiongozi unatoka Karatu usiku unasema siwezi kwebda kulala guest house, bora ukalale ofisini. Unafika ofisini unakuta moto ndio unaanza badala ya kupiga yowe watu waje unakwenda kureport police kwanza.
Jana nilimsikiliza yule kijana kwenye taarifa ya habari nikasema ipo kitu pale.
#WATANZANIASIOWAJINGA
 
ACHENI HILA! VURUGU WASIFANYE MIAKA YOTE 5 YA KUPIGWA PINI NDO WAJE WAZIFANYE LEO TENA KIPINDI HUSIKA CHA LUAMZA KAMPENI.

KAMA MMEBANWA KUBALINI HII NCHI NI YA WANANCHI NA WAO NDO WAKUAMUA DESTINY YA NCHI YAO.
Kwani wao pia sio wanaanchi? Wananchi wapo upinzani tu??
 
Kama hapa Chadema wamevaa gwanda za Polisi wanawafanyia fujo Chadema wenzao eeeenh
 
Hayo yote ni kwasababu kaizungumzia vby Chadema.?
Na haya ndo maisha yenu, matusi na vurugu ndo hulka yenu.Unataka kila mtu akubaliane na maigizo yenu.? kwani Makengeza hakuwa amelewa,wakati anateguka mguu.?
Msiwe kama kenge jamani.
Narudia kama umeshindwa kusema watawala wanavyopiga hela kwenye serikali yako wewe ni zaidi ya mtumwa
 
Back
Top Bottom