Kwa hivi Kili Marathon ilivyo heshima iende kwa Hayati Mzee wetu Philemon Ndesamburo.

Kwa hivi Kili Marathon ilivyo heshima iende kwa Hayati Mzee wetu Philemon Ndesamburo.

Mgeni wa Jiji

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2017
Posts
9,758
Reaction score
18,431
Wana Jamvi,

Nipo Moshi baada ya kitambo kirefu cha kuhudhuria hili ambalo sasa tuliite tamasha la mbio za marathon la Kili Marathon.

Kwa hizi siku mbili za tamasha kuelekea kilele chake siku ya jumapili tarehe 23 Februari, kimsingi ni leo siku ninayoandika uzi huu. Hili tamasha limekuwa kitu kikubwa sana.

Nakumbuka, mbio za Kili Marathon kipindi zinaanza bahati nzuri nilikuwa bado nipo nyumbani Moshi, zilikuwa za kawaida tu zaidi tuliona wageni wengi wa ulaya ambao pia tulikuwa tumezoea kuonana nao mtaani wakiridi kwa ajili ya kushiriki mbio.

Lakini sasa kuna hadi siku tatu za bata na shangwe, sasa hivi sio tu wadau kuyoka Moshi na Arusha bali ni dunia sasa.

Tukirudi nyuma kidogo kuanzishwa kwa mbio hizi hakutengani na aliyekuwa mbunge wa Moshi Mjini Hayati Philemon Ndesamburo. Nakumbuka tulikuwa tunaenda kukata ticket pale hotel ya Keys leo ticket tunapewa kimfuko chenye vifaa kadhaa.

Naona tunaposherekea leo hii mafanikio ya mbio hizi tusiache kumkumbuka Hayati Ndesamburo ambaye naweza kusema ni moja ya waasisi wa mbio hizi.

Sina mengi zaidi ya kusema ahsante kwa.Hayati Ndesamburo aliyewezesha mbio hizi leo kufikia hapa, hakika hii ni zawadi kubwa aliyotuachia.

Royal Tour tuchomekee hapo pia. Mgeni nasema haya nikiwa tena nyumbani Moshi.

Wasalimu.
 
Hivi kwanini mtu akifa ndo watu wanapambana Sana kumshukuru Sana ikiwemo kuzitunga majina barabara .


Hata Leo hii nimemkumbuka rafiki yangu "Busisi " hata siku aliyokufa nimeikumbuka juzi kisha huruma.

Kumtukuza aliyekufa ni kupoteza wakati hawa waliofanya mambo chanya tuwashukuru wakiwa hai

Nitafurahi siku Mbowe akiwa hai Serikali ichukue barabara itunge jina lake au kiwanja .
 
Wana Jamvi,

Nipo Moshi baada ya kitambo kirefu cha kuhudhuria hili ambalo sasa tuliite tamasha la mbio za marathon la Kili Marathon.

Kwa hizi siku mbili za tamasha kuelekea kilele chake siku ya jumapili tarehe 23 Februari, kimsingi ni leo siku ninayoandika uzi huu. Hili tamasha limekuwa kitu kikubwa sana.

Nakumbuka, mbio za Kili Marathon kipindi zinaanza bahati nzuri nilikuwa bado nipo nyumbani Moshi, zilikuwa za kawaida tu zaidi tuliona wageni wengi wa ulaya ambao pia tulikuwa tumezoea kuonana nao mtaani wakiridi kwa ajili ya kushiriki mbio.

Lakini sasa kuna hadi siku tatu za bata na shangwe, sasa hivi sio tu wadau kuyoka Moshi na Arusha bali ni dunia sasa.

Tukirudi nyuma kidogo kuanzishwa kwa mbio hizi hakutengani na aliyekuwa mbunge wa Moshi Mjini Hayati Philemon Ndesamburo. Nakumbuka tulikuwa tunaenda kukata ticket pale hotel ya Keys leo ticket tunapewa kimfuko chenye vifaa kadhaa.

Naona tunaposherekea leo hii mafanikio ya mbio hizi tusiache kumkumbuka Hayati Ndesamburo ambaye naweza kusema ni moja ya waasisi wa mbio hizi.

Sina mengi zaidi ya kusema ahsante kwa.Hayati Ndesamburo aliyewezesha mbio hizi leo kufikia hapa, hakika hii ni zawadi kubwa aliyotuachia.

Royal Tour tuchomekee hapo pia. Mgeni nasema haya nikiwa tena nyumbani Moshi.

Wasalimu.

Ndensamburo ✅
 
Hivi kwanini mtu akifa ndo watu wanapambana Sana kumshukuru Sana ikiwemo kuzitunga majina barabara .


Hata Leo hii nimemkumbuka rafiki yangu "Busisi " hata siku aliyokufa nimeikumbuka juzi kisha huruma.

Kumtukuza aliyekufa ni kupoteza wakati hawa waliofanya mambo chanya tuwashukuru wakiwa hai

Nitafurahi siku Mbowe akiwa hai Serikali ichukue barabara itunge jina lake au kiwanja .
Moments ndiozinaleta haya boss, ngumu kuelewa sometomes.
 
Nipo hapa fresh coach restaurant na kula bia nasubiri pakuche tuanze mbio
Tupo na wadau kutoka German Canada Finland Sweden Kenya Nigeria Uganda South Africa
Hakuna kulala tumekesha

Naona madem wa bongo movies wapo
Mo City MO Town ni zaid ya Stockholm
Karibu sana wadau
Aise Moshi kuzuri
Ngoja tule maisha
 
Nipo hapa fresh coach restaurant na kula bia nasubiri pakuche tuanze mbio
Tupo na wadau kutoka German Canada Finland Sweden Kenya Nigeria Uganda South Africa
Hakuna kulala tumekesha

Naona madem wa bongo movies wapo
Mo City MO Town ni zaid ya Stockholm
Karibu sana wadau
Aise Moshi kuzuri
Ngoja tule maisha
Ungeweka kapicha ingekuwa poa
 
Wana Jamvi,

Nipo Moshi baada ya kitambo kirefu cha kuhudhuria hili ambalo sasa tuliite tamasha la mbio za marathon la Kili Marathon.

Kwa hizi siku mbili za tamasha kuelekea kilele chake siku ya jumapili tarehe 23 Februari, kimsingi ni leo siku ninayoandika uzi huu. Hili tamasha limekuwa kitu kikubwa sana.

Nakumbuka, mbio za Kili Marathon kipindi zinaanza bahati nzuri nilikuwa bado nipo nyumbani Moshi, zilikuwa za kawaida tu zaidi tuliona wageni wengi wa ulaya ambao pia tulikuwa tumezoea kuonana nao mtaani wakiridi kwa ajili ya kushiriki mbio.

Lakini sasa kuna hadi siku tatu za bata na shangwe, sasa hivi sio tu wadau kuyoka Moshi na Arusha bali ni dunia sasa.

Tukirudi nyuma kidogo kuanzishwa kwa mbio hizi hakutengani na aliyekuwa mbunge wa Moshi Mjini Hayati Philemon Ndesamburo. Nakumbuka tulikuwa tunaenda kukata ticket pale hotel ya Keys leo ticket tunapewa kimfuko chenye vifaa kadhaa.

Naona tunaposherekea leo hii mafanikio ya mbio hizi tusiache kumkumbuka Hayati Ndesamburo ambaye naweza kusema ni moja ya waasisi wa mbio hizi.

Sina mengi zaidi ya kusema ahsante kwa.Hayati Ndesamburo aliyewezesha mbio hizi leo kufikia hapa, hakika hii ni zawadi kubwa aliyotuachia.

Royal Tour tuchomekee hapo pia. Mgeni nasema haya nikiwa tena nyumbani Moshi.

Wasalimu.
Peleka siasa z sewage huko

Hoyo ni kolo marathon…..
 
Wana Jamvi,

Nipo Moshi baada ya kitambo kirefu cha kuhudhuria hili ambalo sasa tuliite tamasha la mbio za marathon la Kili Marathon.

Kwa hizi siku mbili za tamasha kuelekea kilele chake siku ya jumapili tarehe 23 Februari, kimsingi ni leo siku ninayoandika uzi huu. Hili tamasha limekuwa kitu kikubwa sana.

Nakumbuka, mbio za Kili Marathon kipindi zinaanza bahati nzuri nilikuwa bado nipo nyumbani Moshi, zilikuwa za kawaida tu zaidi tuliona wageni wengi wa ulaya ambao pia tulikuwa tumezoea kuonana nao mtaani wakiridi kwa ajili ya kushiriki mbio.

Lakini sasa kuna hadi siku tatu za bata na shangwe, sasa hivi sio tu wadau kuyoka Moshi na Arusha bali ni dunia sasa.

Tukirudi nyuma kidogo kuanzishwa kwa mbio hizi hakutengani na aliyekuwa mbunge wa Moshi Mjini Hayati Philemon Ndesamburo. Nakumbuka tulikuwa tunaenda kukata ticket pale hotel ya Keys leo ticket tunapewa kimfuko chenye vifaa kadhaa.

Naona tunaposherekea leo hii mafanikio ya mbio hizi tusiache kumkumbuka Hayati Ndesamburo ambaye naweza kusema ni moja ya waasisi wa mbio hizi.

Sina mengi zaidi ya kusema ahsante kwa.Hayati Ndesamburo aliyewezesha mbio hizi leo kufikia hapa, hakika hii ni zawadi kubwa aliyotuachia.

Royal Tour tuchomekee hapo pia. Mgeni nasema haya nikiwa tena nyumbani Moshi.

Wasalimu.
Ndesa Pesa
 
Back
Top Bottom