Kwa hiyo ccm wameanzisha taasisi ya kumbukizi ya mwalimu chini ya paul kimiti ili kuyeyesha uzito wa hoja za taasisi ya Butiku?

Kwa hiyo ccm wameanzisha taasisi ya kumbukizi ya mwalimu chini ya paul kimiti ili kuyeyesha uzito wa hoja za taasisi ya Butiku?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kama ccm ndio hawa, basi upinzani una safari ndefu sana kuchomoza katika nchi hii.

Nilijiuliza nini kiliwasukuma hawa watu kuanzisha taasisi nyingine kwa jina na malengo yanayoelekeana, ila nilipowaona aina ya wageni walioalikwa kutoa mada na ukumbi uliotumika nikajua ccm ni wajanja wajanja sana.

Waliona Ile taasisi ya Butiku hawana nguvu nayo na ndiyo inaaminika kuendeleza mambo ya mwalimu, wakaona hii watafute namna ya kuikata miguu. Isijekupata kiongozi mwendawazimu huko mbeleni akawazingua.

Kama akili za ccm ndio hizi, ndugu zangu wapinzani badilisheni mbinu za kupambana na hawa jamaa. Wamekomaa kifitina.
 
Kama ccm ndio hawa, basi upinzani una safari ndefu sana kuchomoza katika nchi hii.

Nilijiuliza nini kiliwasukuma hawa watu kuanzisha taasisi nyingine kwa jina na malengo yanayoelekeana, ila nilipowaona aina ya wageni walioalikwa kutoa mada na ukumbi uliotumika nikajua ccm ni wajanja wajanja sana.

Waliona Ile taasisi ya Butiku hawana nguvu nayo na ndiyo inaaminika kuendeleza mambo ya mwalimu, wakaona hii watafute namna ya kuikata miguu. Isijekupata kiongozi mwendawazimu huko mbeleni akawazingua.

Kama akili za ccm ndio hizi, ndugu zangu wapinzani badilisheni mbinu za kupambana na hawa jamaa. Wamekomaa kifitina.
Jenerali Ulimwengu alikwishasema OGOPA SANA KUNDI LA Wajinga ambao ni wengi sana Nchi hii
1657801760543.jpg
 
Wakati Mwalimu alikaa hadi foleni na Marais wengine wanakalia viti vya kanisani kwa adabu, kuna Paka special linasafirisha na kukalia kiti maalum👇🐒🐒🐒
ApfOS.png
AAq4U0.jpeg
ADPZA.png
YAMVHzi.jpeg
 
Back
Top Bottom