NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
“..tulishawalipa, hakuna kesi yoyote FIFA inayoihusu Yanga” – Ally Kamwe anafafanua kuhusu madai ya timu hiyo kudaiwa na baadhi ya wachezaji iliyoachana nao, atangaza tarehe ya kuanza kutoa ‘thank you’ kwa wachezaji wao, asisitiza kufanya usajili mkubwa na wa kishindo.