Kwa hiyo FIFA na TFF Wamekurupuka katika kutoa taarifa kuwa Yanga imefungiwa? Au TFF na FIFA hawana mawasiliano?

Mbona wadaiwa ni timu nyingi za Tanzania zikiwemo Fountain Gate ,Singida Big Stars na Tabora United mbona hamzisemi ? Mnangángánia Yanga tu ?
simba wsao wameona kwa yanga ni jambo la kujifariji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…