DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Doooh! this is too sad oo!Kuna siri kubwa sana tangu kifo cha Bilionea msuya hadi dada yake.
Kuna hati ya Kiwanja kilicho Arusha kilikuwa cha Bilionea msuya, ila hati ya Kiwanja hicho marehemu Bilionea msuya alikuwa ameiweka Kwa dada yake Aneth Msuya.
Baada ya kifo cha Bilionea msuya, mke akataka kukiuza hicho Kiwanja , akashindwa Kwa sababu hati Iko Kwa Aneth Msuya, Dar, issue ikawa Aneth Msuya afanyiwe aliyofanyiwa ili hati ipatikane na Kiwanja kiondoke .
Wiki ijayo nitakusimulia zaidi ila Kwa Sasa simamia hapa
Haujui kwamba miji mikubwa kuna viwanja vyenye thamani ya bilioni hata na zaidi?Mke wa Bilionea aue wifi kwa sababu ya kiwanja , hicho kiwanja kingeuzwa bei gani ?
Apumzike kwa amani
Wauaji wa kaka wako jela na wapo waliohukumiwa kifo.Unapata faida gani kuongopa.Wauaji wa Kaka wote wako nje
Wauaji wa Dada wote wako nje
Mahakamani kuna kazi kweli kweli
Siyo mmachame ni mpareIli mambo haya yasikukute usikaribie mwanamke wa Kimachame
Hapa si Mahakama, kwangu hapa ni Jeshi pendwa la polisi ndio limefail big time. Warudi mezani kujipanga ushahidi Mpya ukipatikana kesi irudi Kwa pilato.Wauaji wa Kaka wote wako nje
Wauaji wa Dada wote wako nje
Mahakamani kuna kazi kweli kweli
Hicho kiwanja kina thamani kubwa kiasi Gani kulinganisha na Mali zingine alizoachiwa mke wa Bilionea Msuya?Kuna siri kubwa sana tangu kifo cha Bilionea msuya hadi dada yake.
Kuna hati ya Kiwanja kilicho Arusha kilikuwa cha Bilionea msuya, ila hati ya Kiwanja hicho marehemu Bilionea msuya alikuwa ameiweka Kwa dada yake Aneth Msuya.
Baada ya kifo cha Bilionea msuya, mke akataka kukiuza hicho Kiwanja , akashindwa Kwa sababu hati Iko Kwa Aneth Msuya, Dar, issue ikawa Aneth Msuya afanyiwe aliyofanyiwa ili hati ipatikane na Kiwanja kiondoke .
Wiki ijayo nitakusimulia zaidi ila Kwa Sasa simamia hapa
At least ww nimekuelewa mkuuMume wa huyu mama kipindi cha uhai wake alishakuwa na mashaka ya kufanyiwa matukio ya uhalifu yaliyotishia usalama wake. Hadi mauti yanamkuta inakonekana wazi kuwa kuna mtu wa karibu ambaye anahusika na suspect wa kwanza alikuwa ni mkewe kwenye mazingira ya mauwaji.
Inasadikika kuwa huyu mama aliyeachiwa huru alishirikiana na majambazi wa kukodi kumuua mume wake na kufanya tukio lionekane ni la uporaji kumbe ni assassination ili mume afe yeye mke arithi mali ambazo kwa wakati huo umiliki ulikuwa chini ya mume wake ila ndugu na jamaa zake mke walikuwa wameshaingia sana kwenye makampuni ya huyo billionaire na kuleta hofu kwa ndugu na jamaa upande wa mwanaume.
Baada ya kifo cha mwanaume Mdogo wa kike wa marehemu hakukubaliana kabisa na swala la kuwa tukio la kuuwawa kwa kaka yake ni ajali ya ujambazi bali lilikuwa no tukio maalumu la kumtoa uhai kaka yake na kumuua kwa makusudi.
Alishikia bango na ndipo hapo kwa mujibu wa historia ya matukio alifuatwa nyumbani kwake na kufanyiwa mauwaji ya kikatili nyumbani kwake jambo ambalo likaongeza suspiciousness juu ya mke wa marehemu kuwa ndio orchestrator wa haya mauwaji yote ya kaka na mdogo wake.
Kesi ndio hiyo ilikuwa ikiughuruma kati ya huyo mwanamke na familia ya marehemu hawa wawili na mke wa marehemu wakimtuhumu kuuwa ndugu zao ili kujitwalia mali za marehemu pekee yake bila kushare chochote upande wa mume wake.
Kwahiyo ndio tamati ya kesi imekuwa kama ulivyoona kuwa familia ya marehemu hawa wawili imeshindwa kesi na mke wa marehemu ameshinda baada ya kusota na hizi kesi tokea mwaka 2017.
Kwa kifupi pesa na mali zipo kwa watoto na mama yao.
Barakuda unapafahamu?Hicho kiwanja kina thamani kubwa kiasi Gani kulinganisha na Mali zingine alizoachiwa mke wa Bilionea Msuya?
Ofisi ya DCI itenganishwe na ofisi ya polisiMnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.
Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.
Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.
Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...
Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.
Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.
Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.
Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.
Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.
Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.
Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?
Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
HapanaBarakuda unapafahamu?
mkuu hv uffwoo swarro aliendaga wp?Ukiskia MMACHAME kimbiaaaaa.
Wanawake wa Aina hii ndio wanafanya vijana wanakataa Ndoa!
Ndoa ni Kifo.
Ndoa ni Jela.
Ndoa ni gereza.
Ndoa ni Utapeli.
Lkn zingatia ili uwe mwanaume timilifu lazima Uoe, kikubwa ishi nao kwa akili.
aione Uffwoo Swarro na wafuasi wake.
Ushahidi wa Simu ya House Girl ulikuwaje? Huko Mitandaoni hawakugundua House girl alikuwa anawasiliana na Nani? Hadi kufikia kuambiwa ondoka akapewa 20000 tau?? Au ushahidi huo umetupiliwa mbali??πππππNi wazi kesi ya Bilionea Msuya hujaifuatilia kabisa na unaleta stori za vijiweni. Jamaa aliuawawa kutokana masuala yake ya biashara hizo hizo za madini baada ya kuhitilafiana na wenzake.
Kwenye suala la huyu mama ni mazingira ndio yanamtia hatiani. Inawezekana marehemu Aneth pia alikuwa ana issues personal na watu wengine its just hili la huyu mama ndio likapewa uzito.
Mahakama imeamua kutokana na ushahidi uliowasilishwa mbele yake. Ukifuatilia hii kesi utaona kabisa kwa namna mambo ya mirathi yalivyo kibongo bongo hao ndugu zake na Bilionea hakuna namna mirathi wangepata wao unless watumie mbinu za ziada.
nasubiri kwa hamu mkuuKuna siri kubwa sana tangu kifo cha Bilionea msuya hadi dada yake.
Kuna hati ya Kiwanja kilicho Arusha kilikuwa cha Bilionea msuya, ila hati ya Kiwanja hicho marehemu Bilionea msuya alikuwa ameiweka Kwa dada yake Aneth Msuya.
Baada ya kifo cha Bilionea msuya, mke akataka kukiuza hicho Kiwanja , akashindwa Kwa sababu hati Iko Kwa Aneth Msuya, Dar, issue ikawa Aneth Msuya afanyiwe aliyofanyiwa ili hati ipatikane na Kiwanja kiondoke .
Wiki ijayo nitakusimulia zaidi ila Kwa Sasa simamia hapa
Hii sio Dunia nyangu kweliMnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.
Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.
Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.
Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...
Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.
Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.
Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.
Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.
Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.
Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.
Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?
Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Una umri gani kwanza tuanzie hapo? Hii kesi nimeanza kuisikia na kusoma kwenye blogs na kwenye magazetinya uwazi mwaka 2013. Na tukio la mdogo wake linatokea huo mwaka 2016 nilikuwa still napata zile latest za tukio.Ni wazi kesi ya Bilionea Msuya hujaifuatilia kabisa na unaleta stori za vijiweni. Jamaa aliuawawa kutokana masuala yake ya biashara hizo hizo za madini baada ya kuhitilafiana na wenzake.
Kwenye suala la huyu mama ni mazingira ndio yanamtia hatiani. Inawezekana marehemu Aneth pia alikuwa ana issues personal na watu wengine its just hili la huyu mama ndio likapewa uzito.
Mahakama imeamua kutokana na ushahidi uliowasilishwa mbele yake. Ukifuatilia hii kesi utaona kabisa kwa namna mambo ya mirathi yalivyo kibongo bongo hao ndugu zake na Bilionea hakuna namna mirathi wangepata wao unless watumie mbinu za ziada.