Hakukuwa na wosia wa hivyo, mirathi automatically ilikuwa kwa mwanamke na mali zote zilikuwa chini yake na yeye ndie alikuwa na wajibu wa kuwagawia wanafamilia yake urithi.Ninavosikia Bilionea aliacha Urithi 60% kwa mke na 40% kwa ndugu zake sasa mke akataka mali zote ale mwenyewe
Yule dada aliuwawa kwasababu ndie mwanafamilia pekee alikuwa anajiongeza katika kushirikiana na private investigators kupata ushahidi wa kumkamata na kumtia mbaroni huyu mke wa jamaa na ndio kilichosababisha akatengenezewa njama za mauwaji na hatimae dhamira ikatimia.Inafikirisha sna nshindwa kupata angle chuki gan had ue ndugu wa mume ili umiliki pesa of which pesa iko kwa mikono yake
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hivi kilikuwa ni kiwanja au ni hoteli? Me nakumbuka ilikuwa ni hoteli bwana.Eleza kiwanja Kiko wapi acha porojo kiwanja akiuze aneth kwa pesa alizo acha marehemu mume wake
Acheni uzushi wa kijinga kiwanja kilikikuwa na dhamani ya Kia's gani Hadi atolewe roho Teja Bei kiwanja hcho mnk mm Nina nina rfk angu alikuwa valuer wa Mali za msuya
Kuna kitu kingine baasi apart from kiwanja ambacho ndio kifo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Najiulizai wanaume wa kimachame wanawajua vizuri Dada zao ila bado wanawaoa tu, kwa nini wasioe makabila mengine? Mfano wasukuma.Ukiskia MMACHAME kimbiaaaaa.
Wanawake wa Aina hii ndio wanafanya vijana wanakataa Ndoa!
Ndoa ni Kifo.
Ndoa ni Jela.
Ndoa ni gereza.
Ndoa ni Utapeli.
Lkn zingatia ili uwe mwanaume timilifu lazima Uoe, kikubwa ishi nao kwa akili.
aione Uffwoo Swarro na wafuasi wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo nyie hii kesi mnadhani imeanzia kwenye mauwaji ya Anethe Msuya? [emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba huyu Mke wa Msuya ndiye aliyemuua Msuya ? hili jipya
Haswaa!Hii inanikumbusha kesi ya O.J. Simpson na mauaji ya Nicole Brown Simpson na Ron Goldman.
Mpaka leo hii O.J. eti bado ‘anawatafuta’ wauaji 😀.
Ni heri kumwachia huru mwalifu kuliko kumuhukumu asiye na hatia.Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.
Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.
Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.
Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...
Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.
Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.
Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.
Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.
Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.
Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.
Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?
Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
da!!! nimemkumbuka yule msomali HAMZA alivokamata mtutu na kuamua kujiongeza!!!!,,,,,usione m2 anaamua kujitoa mhanga ukachukulia ni jambo dogo aisee!!Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.
Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.
Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.
Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...
Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.
Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.
Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.
Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.
Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.
Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.
Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?
Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Waliomuua Msuya si walishahukumiwa au ikoje hii ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo nyie hii kesi mnadhani imeanzia kwenye mauwaji ya Anethe Msuya? [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mwanaume alieachiwa mbona kama mgonjwa? Yani ana majipu majipu uso mzima...Oneni kilio Cha Mamba .
Ninaamin, Hataishi kufaidi hukumu hii.
View: https://youtu.be/qwSLq5v-jog?si=_OuO1nbpHmmdNPE7
Umri wangu huhitaji kuujua maana hausaidii lolote kuhusu hii kesi. Mauaji ya Bilionea yameelezewa sana katika mwenendo wa kesi yake. Sio suala jipya, sana sana haya maswali unayouliza hayaendani na kumbukumbu rasmi zilizopo juu ya suala la mauaji ya Msuya.Una umri gani kwanza tuanzie hapo? Hii kesi nimeanza kuisikia na kusoma kwenye blogs na kwenye magazetinya uwazi mwaka 2013. Na tukio la mdogo wake linatokea huo mwaka 2016 nilikuwa still napata zile latest za tukio.
Wewe unakuja kusoma majumuisho ya hii kesi mwaka 2024 leo are you being serious right now?
Kuna wafanyakazi waliokuwa wakifanya kazi kwenye hotel ya huyu billionaire miaka hiyo kabla hajafariki na walitoa shuhuda zao za mwenendo wa kimahusiano wa huyu mama na mumewe na hata story za minong'ono ya wakati huo ambazo kwasasa unaweza usizisikie.
Wewe unajua siku kadhaa kabla ya tukio la kuuwawa huyo baba kulitokea mfululizo wa matukio gani nyuma?
Unafahamu wauwaji walitumia silaha gani na ripoti za polisi zilisemaje?
Unafahamu hata tukio lilitokea eneo gani na nini kikafuata baada ya tukio?
Unajua dada wa marehemu aliyeuwawa alikuwa na issues gani na mke wa marehemu?
Unafahamu kauli za mke wa marehemu kwa dada wa marehemu na familia ya marehemu?
Unajua siku ya tukio ni nini kilitokea?
Unajua kuwa nyumba ilikuwa na House girl na boyfriend wa house girl alikuwapo kwenye tukio?
Unajua kuwa House girl alikuwa na mawasiliano gani na mke wa huyu billionaire au watuhumiwa wengine?
Mali, mali, mali ,mali, Hayo Mazee ya baraza yalipotamka tu yakwamba mshtakuwa hana kosa nilijua tayari "DILI" limetiki, jaji mnafiki kajitutumua kwakusema eti washtakiwa wana kesi ya "KUJIBU" hv anafanya wt wajinga, siku zinakuja wote waliotenda uovu huu wataangamia.....Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.
Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.
Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.
Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...
Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.
Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.
Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.
Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.
Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.
Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.
Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?
Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Binafsi nilistaajabu sana SABAYA kuachiwa kumbe kuna hili la MKE WA MSUYAMnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili.
Maumivu aloyapata marehem, wakati Chombo chenye ncha Kali kikipita Shingoni mwake , pengine akirusha miguu na mikono, Chombo che ncha kali kikipenyeza kwenye Kooo, mishipa ya Damu, Damu ikirukaaa, Kikapenya kwenye Mishipa ya faham, nahatimaye Kikapenya katikati ya maungio ya shingo, Ni wazi Dada wa Msuya alikufa Kifo chenye maumivu makubwa sana.
Kifo kilichokusudiwa, Kifo ambacho Ndani yake ,Muuaji alijawa hasira, Chuki na Roho ya kisasi ilokusudia "Nitakuonyesha", ..Na Kwa sababu hiyo, Muuaji alichagua Kuua Kwa KUCHINJA , tuseme kwamba aliuwawa akiwa tayari kasinzilishwa Kwa dawa za usingizi, yote Kwa yote, aliuwawa Kwa KUCHINJA.
Maajabu ,Leo katika Nchi ya Hasira, Nchi ambayo MaJAJI ni Matajiri wa kupindukia, Nchi ambayo hata askari anayelinda nyumba ya Jaji na wasaidizi wa Jaji ni matajiriii...
Nchi ambayo Polisi imejaa Darasa la Saba, Na Walofeli Kidato Cha Nne ndio wanaofanya Forensic investigation, Nchi ambayo alofeli Kidato Cha Nne, ndio anapewa kazi ya upepelezi.
Nchi ambayo, Wakili mwenye Uwezo mzuri, alofaulu kujua Ombwe la Sheria zetu, naaam kwakua kwake ni Kutetea mteja na Pesa, anaamua kutumia Elimu yake na uelewa wake, kumtetea mteja wake, na kweli Mteja kaachiwa huru.
Ni nani alimuua dada wa msuya? Tuambiane basi kama alijichinja tujueee.
Mdada wa kazi? Mdada wa kazi ndio muuaji? Kwamba alimshinda nguvu dada wa msuya??.
Katika uumbaji wa mwanamke, hana gut ya kuua kwa kuchinja, hawezi na haitokaa itokee.
Kama alotekeleza mauaji hayo ni mwanaume, aliyafanya kwa lengo gani ,afaidike na nini?.
Haya bana, niwashukuru kwa kuendelea kutenda haki. Hivi kama jeshi halikua na uwezo wa kipelelezi, simngeomba msaada nje?
Kwanini maisha ya watu ni mnachezea kamari namna hii?
Kwanza Mali za mume na mke dada anahusikaje?Aneth ameponzwa na tamaa ya Mali.Walipewa73 milion each.Yeye alikua anataka nin sasa?Kuna siri kubwa sana tangu kifo cha Bilionea msuya hadi dada yake.
Kuna hati ya Kiwanja kilicho Arusha kilikuwa cha Bilionea msuya, ila hati ya Kiwanja hicho marehemu Bilionea msuya alikuwa ameiweka Kwa dada yake Aneth Msuya.
Baada ya kifo cha Bilionea msuya, mke akataka kukiuza hicho Kiwanja , akashindwa Kwa sababu hati Iko Kwa Aneth Msuya, Dar, issue ikawa Aneth Msuya afanyiwe aliyofanyiwa ili hati ipatikane na Kiwanja kiondoke .
Wiki ijayo nitakusimulia zaidi ila Kwa Sasa simamia hapa
Ni kweli marehemu alichinjwa. Swali linabaki je ni nani alimchinja?
Huyu mama sio mmachame ni mpare na mmeruu
Kibatala Mungu anamwona
Hana mwisho mzuri kwenye uwakili wake.
Anaweza kuwa kweli kauawa , lakini aliyemuua ni huyu mnayemdhania, kwanini ?Huo ukoo ushaingia dosari kubwaa, kisasi kitaenda karne na karne
Huyo mtoto wa Aneth atakua! mziki utaanza tena hivi ni wakiume😂