Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma sana kuona uwanja na timu ile ile iliyocheza na timu uipendayo ikatoka droo alafu anakuja Yanga anashinda kiulaini na kuondoka na point 3Wale wazee wa busara waliopanga kwenda kwa mama wanasemaje sasa?
Wale mashabiki isipokuwa wawili tu waliosemwa wana akili,bado wana kiu ya kwenda kudeka kwa mama dhidi ya waamuzi?
Uzuri dakika zikiongezwa ni faida kwa timu zote zinazocheza uwanjaniSasahiv uhakika si umeona leo pale manungu refa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza halafu cha pili kaongeza 4 jumla 9..
unateseka ukiwa wapi KOLO???Wale wazee wa busara waliopanga kwenda kwa mama wanasemaje sasa?
Wale mashabiki isipokuwa wawili tu waliosemwa wana akili, bado wana kiu ya kwenda kudeka kwa mama dhidi ya waamuzi?
Kwahiyo kwa mama hamuendi tena??Inauma sana kuona uwanja na timu ile ile iliyocheza na timu uipendayo ikatoka droo alafu anakuja Yanga anashinda kiulaini na kuondoka na point 3
Sasahiv uhakika si umeona leo pale manungu refa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza halafu cha pili kaongeza 4 jumla 9..
Kwahyo kwa mama hamuendi tena, kufanya nini?Kwahiyo kwa mama hamuendi tena??