Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Wana jf nina 2.21nimejaza dit kwenye cell4m ntachaguliwa kweli au nianze kupiga tuition kwaajili ya advance
P-b+,c-c,m-c
tupo basi moja.
.
Mkuu PCM imekaaje nipe matokeo yako!
.
Afu tuongee mana namie ni mhitimu!
P-b+,c-c,m-c
.
Tegemea ndugu mana itategemeana na uwingi wa walipata one! Ambao
walichagua hapo!
.
Ila huwa wanaangalia usishuke zaidi ya C kwenye masomo hayo matatu!
Afu kingine pia wanaangaliaga ukanda uliopo ikitokea bahati mbaya!
BTW
We wa ajabu umepiga B+ p afu C kwenye C daa mana P ilipinda sana ile
kwenye theory
au ndo kosa walilo lifanya jamaa mana waliweka 250dm3 baada ya 250cm3
kwenye C plactical basi daaa wana wacha watuache hoi nyie NECTA! Daaaaa
au we kingdom fungi unasemaje au hukupiga 2A
chemistry
Kama uliweka chaguo la
kwanza lazima wakuchague. Kuhusu kuchaguliwa chuo gn hapo wao ndo
wanapanga kulingana na nafasi na ufaulu wako. Kama hukuweka chaguo la
kwanza uende wizarani ukaombe muongozo
Kuomba huo muongozo simpaka post zitoke?
Mkuu nili choose tech colleges vp lakin nimefaulu vizur tu.vipi wanaweza wakanipeleka advance au ndo tech tena?
tupo basi moja
.
We ulichagua nn mdau?
.