snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,437
- 2,043
Yap mkuu hata mimi second choice ni advanced then combination PCM au PCB nbut iv kuna tofaut gani kati ya atakechaguliwa advance na tech??
.
Atakaechaguliwa advance ataanza degree baada ya miaka miwili,
na atakaechaguliwa Tech ataanza Degree baada ya Miaka mitatu!
.
Na huyu wa Tech baada ya hiyo miaka mitatu anaweza kuanza kazi akiwa na hiyohiyo diploma
.
Lakini anaesoma Tech anakuwa na uzoefu mkubwa sana wa kazi kuliko yule wa degree aliyepitia advance!
.
Hii inatokana na wa Tech kujikita zaidi kwenye Plactical kuliko yule wa degree anaesomea madaftari!
.
Na pia anaeenda Advance huwaga hana uhakika mana anaweza akafeli au akafaulu!
.
Afu kuna kingine hiki!
.
Kwa mfano VIVABONTA anaetaka akasome Computer eng!
Kama atachaguliwa advance PCM basi inabidi akapige Msuli wa kufa mtu ili akasome UDSM computer eng
.
Lakini inampa advantage kama atachaguliwa tech!
.
Kingine tena
.
Kuna wanao enda Advance wanafeli afu wanaludi na vyeti vyao kuomba waingie indirect entry kwamfano pale DIT!
.
Basi huyu aliyefeli advance nakuludi Tech itambidi alipe ada kubwa sana tofauti na atakaeenda Tech akitokea Form four mana yeye hulipa laki mbili! Na nyingine yote hulipiwa na serikali kama zawadi! Yaani hupewa mkopo na serikali ambao hataulipia akimaliza masomo yake!
Last edited by a moderator: