Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
- Thread starter
-
- #401
Baada ya kukidumbukiza shimoni kwanguvu mpaka Sasa Bado hamuamini mmekimaliza mpaka mnashauri kisiingie shimoni kweli chadema sikio la kufa
Mbona nyie Rais Magufuli mmemuacha apite bila kupingwa? Kachukue fomu uchuwane naye kama hujapotezwa. Mambo ya CHADEMA waachie wanaCHADEMA wenyewe. Kwani CHADEMA ikizama wewe mwanaCCM kinakuuma nini?Hapana Mkuu tunataka mgombea atakayempa chagamoto mgombea wa Ccm Rais Magufuli Mkimsimamisha huyo mropkaji aliyeko ubeligiji mtapigwa asubuhi tu
Tundu Lisu angekuwa anatumia akili yake sawasawa angekuwa mbali sana kimaisha na kwa wananchi wa lililokuwa jimbo lake..
Ila kwa sasa hawezi kushindana na CCM akiwa nje ya nchi.
Na hata angekuwa yupo nchini bado asingweza kushindana na CCM.
NI dhahiri CDM wamebariki uamuzi huo wa Lisu wa kutangaza nia akiwa nje ya nchi, lakini je wanafuata katiba yao inasemaje?
Matatizo ya shule za kata sasa tunayaona!! Lissu rekebisha hii kitu..CCM ajenda yao ni kupumbaza watu wasijue kinachoendelea nchini!! Ni technic mbaya mno!!
Si wanataka madaraka au??Chadema wamekuwa watu wasiojitambua wanataka nini
Baba wa taifa sio malaika ni binadamuKumdhihaki na kumkejeli Baba wa Taifa akiwa bungeni, hii haijawahi kutokea toka Taifa letu liundwe
Akiwa Mbunge akihamasisha Wananchi wa jimboni kwake wasichangie michango ya maendeleo na katika shughuli za maendeleo
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa mfano Ccm yeye huita "maccm" yeye Chadema tu ndio watu wa maana
Ni mtu mwenye maamuzi ya jazba na kukurupuka
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani !
Kazi kwenu Chadema km mnataka mpate angalau diwani muepukeni lissu
Watu wanaoweza kupeperusha bendera ya Chadema wenye sifa za kumpa changamoto Rais Magufuli ni km Peter msigwa, Nyalandu, Lema na Membe
Sisi hatuwezi kuwapangia maccm wamchague nani,ila maccm wenyewe wanamtaka Membe.Kwahiyo mnauogopa Magufuli mnamtaka dhaifu membe
Umepaniki "Bogus"CHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na Lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwa sababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni CHADEMA tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi.
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru.
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama.
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani.
Kazi kwenu CHADEMA muamue msimamishe Lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Sisi hatuwezi kuwapangia maccm wamchague nani,ila maccm wenyewe wanamtaka Membe.
Baba wa taifa sio malaika ni binadamu
Si wanataka madaraka au??
Chadema wanakufa Kama mbwa anae kufa wakat wa mapigano yeye Kama amengata kitu hakiachii mpaka anakata roho NDIO chadema na makamanda wa ufipa wao wamengata jamiforums na Twitter ndio Kuna Wana chama wao
Kweli their crazy lakini why they are Hunted too much, we must let citizen pushed them away na ujinga waoKwa ujinga wanaofanya madaraka watayasikia tu
Huna lolote huo ushauli peleka chamwinoCHADEMA kama mnataka msidumbukie shimo kaeni mbali na Lissu mtakiua chama akigombea Urais
Kwa sababu Lissu amekuwa ni mtu wa jazba asiyedhibiti emotional za ndani.
Ana chuki na vyama vingine vya kisiasa na kuvidharau mfano huita CCM"maccm" yaani yeye watu wa muhimu kwake ni CHADEMA tu wengine ni takataka huyu moja kwa moja anakosa sifa za kuwa kiongozi.
Alimdhalilisha Baba wa Taifa bungeni kwa kutoa maneno ya kejeli na kudhihaki hii haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote toka Nchi yetu ipate uhuru.
Wakati akiwa mbunge alkuwa akiwakataza Wananchi wasichangie michango ya maendeleo jimboni kwake hali iliyopelekea shughuli za maendeleo kusimama.
Wakati Rais Magufuli anatetea Watanzania juu ya madini yetu yaliyokuwa yakiporwa na Mabeberu tunajua Lissu alikuwa anawatetea watu gani.
Kazi kwenu CHADEMA muamue msimamishe Lissu mfe kabisa au muangalie watu wanaoweza kukibeba chama
Kwa maoni yangu watu kama Peter Msigwa, Lema, Nyalandu au Membe wanaweza kuonesha upinzani kwa mgombea wa CCM Rais Magufuli la sivyo mkimsimamisha Lissu hata diwani hamtapata.
Huna lolote huo ushauli peleka chamwino
Kweli their crazy lakini why they are Hunted too much, we must let citizen pushed them away na ujinga wao
Duuuh utafiti ulifanyika lini mzee??Wananchi hawataki hata kuwaona hao mamluki wa Mabeberu