Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wasalaam JF
Ndoa nyingi za huko mahekaluni ni feki.
Sababu hizi
1. Kama hujaoa bikra na mwanamke hajatubia hio dhambi
2. Alievunjwa bikra na asiye mumewe hafai kuolewa.
3. Kama mshazini na kutoana bikra kabla ya ndoa.
4. Mahudhurio ya Ma ex wenu wakati wa kufunga ndoa na viapo vyake.
5. Kupokea michango ya ma ex ya kufanikisha ndoa yenu.
6. Uwepo wa mashosti na marafiki walioshuhudia uasherati wenu na mkafunga ndoa bila kusikika mkitubia zinaa zenu zote.
7. Kuoa mwanamke ambae alishatoa mimba hata kama hujui.
8. Kuolewa na mwanaume ambae ametelekeza watoto, mimba, na kuwatoa mimba wapenzi zake.
9. Kuoa mwanamke ambae amedhulumu nafsi ya mwanaume kwa ahadi za uongo.
10. Kuoa anaegeuka au kugeuza sio (wala gololi).
11. Kuolewa na mpiga deki au Kuoa alokwisha kulamba mapipi uji.
12. Kuoa au kuolewa na kuwadi wa zinaa.
13. Kuoa alietoka na mwana kwaya au wanakwaya wenzake.
14. Kuoa au kuolewa na aliyetoka kimapenzi na ndugu yake au ndugu zake.
15. Kuoa au kuolewa na mpiga chabo.
16. Ndoa yoyote ikifungwa mbele ya ushuhuda wa mchepuko au michepuka yao ni feki.
Ndoa yoyote bila toba au utakaso walau wa zaburi ya 51 ni sifuri.
Mapenzi na toba ndio habari sasa nyie endeleeni kujifariji na ndoa feki.
Tubishane kwa hoja tupambane kwa points.
Wadiz
Ndoa nyingi za huko mahekaluni ni feki.
Sababu hizi
1. Kama hujaoa bikra na mwanamke hajatubia hio dhambi
2. Alievunjwa bikra na asiye mumewe hafai kuolewa.
3. Kama mshazini na kutoana bikra kabla ya ndoa.
4. Mahudhurio ya Ma ex wenu wakati wa kufunga ndoa na viapo vyake.
5. Kupokea michango ya ma ex ya kufanikisha ndoa yenu.
6. Uwepo wa mashosti na marafiki walioshuhudia uasherati wenu na mkafunga ndoa bila kusikika mkitubia zinaa zenu zote.
7. Kuoa mwanamke ambae alishatoa mimba hata kama hujui.
8. Kuolewa na mwanaume ambae ametelekeza watoto, mimba, na kuwatoa mimba wapenzi zake.
9. Kuoa mwanamke ambae amedhulumu nafsi ya mwanaume kwa ahadi za uongo.
10. Kuoa anaegeuka au kugeuza sio (wala gololi).
11. Kuolewa na mpiga deki au Kuoa alokwisha kulamba mapipi uji.
12. Kuoa au kuolewa na kuwadi wa zinaa.
13. Kuoa alietoka na mwana kwaya au wanakwaya wenzake.
14. Kuoa au kuolewa na aliyetoka kimapenzi na ndugu yake au ndugu zake.
15. Kuoa au kuolewa na mpiga chabo.
16. Ndoa yoyote ikifungwa mbele ya ushuhuda wa mchepuko au michepuka yao ni feki.
Ndoa yoyote bila toba au utakaso walau wa zaburi ya 51 ni sifuri.
Mapenzi na toba ndio habari sasa nyie endeleeni kujifariji na ndoa feki.
Tubishane kwa hoja tupambane kwa points.
Wadiz