wazagamba nkoko
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 389
- 998
Kila kitu holela, bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana, serikali imeshindwa kazi, ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi