Kwa huu mfumuko wa bei ya bidhaa karibu zote nchini Serikali inapaswa kujiuzulu haraka sana

Kwa huu mfumuko wa bei ya bidhaa karibu zote nchini Serikali inapaswa kujiuzulu haraka sana

wazagamba nkoko

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2021
Posts
389
Reaction score
998
Kila kitu holela, bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana, serikali imeshindwa kazi, ijiuzulu.

Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.

Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
 
Mama anaupiga mwingi, sukuma gang ndio waathirika wa mfumuko sie Msoga Camp tunainjoy bei zikipanda 😅!

Mama pandisha zaidi bado sana hadi litre ya mafuta wanunue 15,000/=! Pandisha kila kitu tumkomeshe Mwendazake
 
Huku kijijini tunaambiwa mama anaupiga mwingi kudadeki
Kila kitu holela ,bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana,serikali imeshindwa kazi , ijiuzulu.

Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.

Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
 
Kila kitu holela ,bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana,serikali imeshindwa kazi , ijiuzulu.

Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.

Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Duh! Na kazi iendelee.
 
Ni kitu gani kimechangia mfumuko wa bei. Ni Mzunguko wa pesa umeongezeka au bei ya mafuta?
 
Mama anaupiga mwingi, sukuma gang ndio waathirika wa mfumuko sie Msoga Camp tunainjoy bei zikipanda 😅!

Mama pandisha zaidi bado sana hadi litre ya mafuta wanunue 15,000/=! Pandisha kila kitu tumkomeshe Mwendazake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ya Joyce Banda naona yakitokea kwa Hangaya.
 
Kila kitu holela ,bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana,serikali imeshindwa kazi , ijiuzulu.

Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.

Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Mafisadi wamerudi kwa ari, kasi na nguvu mpya chini ya mzee wa msonga
 
Mama anaupiga mwingi, sukuma gang ndio waathirika wa mfumuko sie Msoga Camp tunainjoy bei zikipanda 😅!

Mama pandisha zaidi bado sana hadi litre ya mafuta wanunue 15,000/=! Pandisha kila kitu tumkomeshe Mwendazake
Kama upo vizuri kiuchumi usiwaumiZe wenzio kumbuka kuna leo na kesho hujui kesho yako. Mungu akisema nyuma geuka ndo utajua nini namaanisha.
 
Kila kitu holela, bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana, serikali imeshindwa kazi, ijiuzulu.

Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.

Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
We utakuwa mwanaccm tu
 
Back
Top Bottom