wazagamba nkoko
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 389
- 998
Anadhani Afrika ni sawa ulaya au Marekani kwenye uwajibikajiNipe mfano wa serikali ambayo ilishawahi kujiuzulu sabab ya mfumuko wa bei
Kila kitu holela ,bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana,serikali imeshindwa kazi , ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Duh! Na kazi iendelee.Kila kitu holela ,bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana,serikali imeshindwa kazi , ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Ni muda muafaka sasa kutokemeza hili genge la wahali fu sugu wa nchini
Mji wa msimbe huu kwa sasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mama anaupiga mwingi, sukuma gang ndio waathirika wa mfumuko sie Msoga Camp tunainjoy bei zikipanda 😅!
Mama pandisha zaidi bado sana hadi litre ya mafuta wanunue 15,000/=! Pandisha kila kitu tumkomeshe Mwendazake
Mafisadi wamerudi kwa ari, kasi na nguvu mpya chini ya mzee wa msongaKila kitu holela ,bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana,serikali imeshindwa kazi , ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
🤣🤣🤣Na mkate umepunguzwa uzito, ila ujazo ni ule ule (sponji kavu), kwa butu ile ile. Vibaraka wanachekelea, kama vile watakalia hayo mamlaka milele.
Toa mfanoSio kazi yangu ,zipo mpaka zilizopinduliwa
Kama upo vizuri kiuchumi usiwaumiZe wenzio kumbuka kuna leo na kesho hujui kesho yako. Mungu akisema nyuma geuka ndo utajua nini namaanisha.Mama anaupiga mwingi, sukuma gang ndio waathirika wa mfumuko sie Msoga Camp tunainjoy bei zikipanda 😅!
Mama pandisha zaidi bado sana hadi litre ya mafuta wanunue 15,000/=! Pandisha kila kitu tumkomeshe Mwendazake
We utakuwa mwanaccm tuKila kitu holela, bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana, serikali imeshindwa kazi, ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi