Kwa huu mpira papatu papatu sioni tukifika mbali CAFCL

Kwa huu mpira papatu papatu sioni tukifika mbali CAFCL

sikuona sababu ya kuja na mpira wa butua butua.....
Kwa level ilipofika Simba nilitegemea icheze mpira wa level flan ila nachoona hapa first half ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Ukubwa wa team huonekana hata na mpira unaocheza ni WA kikubwa ila sio Simba wanachokicheza ....... sijui kama viongozi waliangalia falsafa ya Simba na kocha walomleta....

Halafu golie ivi kinachombeba ni rangi ama sijawahi cheza mpira maana vitu vipo wazi golie mweupe sana huyu mara mia Ally ........
Kabisa mkuu Golikipa sio mweusi yule ni mweupe peee, bila shaka ni mwarabu yule. Si anaonekana kabisa rangi yake?
 
sikuona sababu ya kuja na mpira wa butua butua.....
Kwa level ilipofika Simba nilitegemea icheze mpira wa level flan ila nachoona hapa first half ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Ukubwa wa team huonekana hata na mpira unaocheza ni WA kikubwa ila sio Simba wanachokicheza ....... sijui kama viongozi waliangalia falsafa ya Simba na kocha walomleta....

Halafu golie ivi kinachombeba ni rangi ama sijawahi cheza mpira maana vitu vipo wazi golie mweupe sana huyu mara mia Ally ........
Viongozi ndio tatizo.
Tungechagua viongozi vijana.Hawa wazee maamuzi yao ya hovyo sana.Kulikuwa na sababu gani ya kutokumpa timu Mgunda?
 
Viongozi ndio tatizo.
Tungechagua viongozi vijana.Hawa wazee maamuzi yao ya hovyo sana.Kulikuwa na sababu gani ya kutokumpa timu Mgunda?
Mkuu!
Nilikuwa natafuta Uzi wa namna hii niunge mkono!

Tatizo la Simba ni Uongozi- Nina mashaka makubwa na Try Again na Mangungu kuwa si viongozi wazuri wa mpira!
Ushaidi ni maamuzi Yao ya kwenye timu- binafsi hakukuwa na haja ya kumtoa mgunda, mgunda alikuwa timu kwenye Mazingira magumu akairekebesha timu ikafanya vizuri sana!
Timu ilikuwa inashinda na mpira wa kuvutia sana, timu ilikuwa inakaba inapokuwa haina mpira! - tofauti na Sasa timu haikabi kabisa- ushaidi angalia msgoli tunayofungwa
Maamuzi mengine ya ajabu ni kumuachia Beno kakolanya ilihali wakijua Aishi anaumwa! - huyu. Ayubu kwa kweli anatoa mashaka!
Ukija kwenye usajili Nako ni shida tupu! Msimu wa pili usajili unatia mashaka- msimu huu kwa mfano wamesajili washambuliaji wengi kuliko viungo wakabaji na mabeki!
Kwa kweli Kuna haja viongozi wajitathimini!
Hatuzaoea kuangalia mpira huku Matumbo yanaunguuruma!
Rudisha Mgunda - boli itembee!
 
Japo najua tutafuzu na kuwaondosha hawa Power Dinamos, ila sioni chetu huko group stage.
Tunacheza hovyo sana, yaani ni kama vile timu ya ndondo.

Endapo tukikutana na timu Bora basi kupigwa hamsa itakuwa ni jambo la kawaida sana.

Simba nguvu moja[emoji123]
#Robertinho Out#
Usihofu
 
Back
Top Bottom