Kwa huu Ukweli Mchungu wa huyu Mtangazaji wangu bora wa Michezo nchini Alex Luambano wa Clouds FM naomba atunukiwe Tuzo ya Heshima upesi

jezi wameuza nyingi wamemuuzia nani? kama 98% ya mashabiki walivaa old model, hizo takwimu za 1M sold ni uzushi kama tulivyodanganywa kua kipa anadaka hadi risasi
 
Uzi umeandikwa na yule jamaa wa kutoka Rwanda aka Popoma...
 

Anajua sana kutangaza, kitu asipokijua huwa anakaa kimya huwa hana haraka ya kujifanya anajua kilakitu.
 
We ndiyo mchambuzi uchwara kabisa, unatetea timu yenu kukosa uweledi wa kiuendeshaji?

Mtamlaumu nani kama mtatolewa hatua za awali ( preliminary stage) za CAF CL?
 
We ndiyo mchambuzi uchwara kabisa, unatetea timu yenu kukosa uweledi wa kiuendeshaji?

Mtamlaumu nani kama mtatolewa hatua za awali ( preliminary stage) za CAF CL?
Unaweza kueleza huo weledi unaosema wewe umekosekana ni weledi upi?!
 
Usingeingiza ushabiki ungeeleweka vizuri zaidi
 
Usingeingiza ushabiki ungeeleweka vizuri zaidi
Mbona sijaingiza ushabiki wowote?! Hayo ya Mwamedi ni matani ya kisoka tu, lakini hoja ni kwamba, kwavile Makorokoro mechi yao ipo mbali sana, wangekuwa na uwezo wa kuendelea kujifua Morroco hata kwa wiki 2 zaidi zijazo na wasiathirike, advantage ambayo Yanga hatukuwa nayo!!

Najua wengi wanachanganya sana kati ya mbwembwe za Wiki ya Wananchi na Pitch Outcome wakati hizo idara watendaji wake ni tofauti!! Timu haipo imara kwa sababu tu hapakuwa na muda wa kuiandaa timu! Hoja ingekuwa tofauti kama tusingekuwa kabisa na Wiki ya Mwananchi kama ilivyo kwa Azam ambao, pamoja na wao kuwa na muda mfupi, lakini they've undivided attention.
 
Shaffi dauda aliai sema kwamba simba imeingia makundi na katika kundi lake yeye ndo underdog basi tangu hapo alichukiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…