Mbona tukiwabana K zenu kwa kutumia Sera zetu mnaanza kupiga mayowe.Hizi nadharia kila nchi inazo zimetundikwa ukutani, ila sasa uhalsia unategemea na kiongozi wa awamu husika akija mwenye kutoskliza ushauri wowote, anazivunja na kuzikiuka kwa kwenda mbele ikiwemo hata kukanyaga katiba kwenye masuala ya ndani ya nchi.
kwani wewe huna imani na mama???Mapema kaka,tulia Kwanza!
mkuu,,, tangu yule celeb wa jf akulambishe sakafu, umekua na roho ya kikatili sana.Majirani msidhani tutawapumzisheni...
Mwendo ni ule ule...
Hahahaha, mnaitegemea sana Tanzania katika maisha yenu yote, msitegemee jipya katika mahusiano kati ya Tanzania na Kenya kubadilika, kumbuka Kenya inakwaruzana na majirani wake wote.
Kuna mambo mengi yatabadilika katika uongozi wa mama Samia lakini sio mahusiano na Kenya, ninyi ni vichwa ngumu hamuwezi kuelewana na nchi yoyote ile, kama ninyi wenyewe hamuelewani, rais na naibu wake ni kama paka na panya, Jaluo vs Kikuyu, Kalenjin vs Kikuyu, Samburu vs Turkana, vipi unahisi Kenya inaweza kuelewana na Tanzania?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hehehehe MATAGA wengi naona mumekua kama mayatima na kupoteana, kila mmoja na kauli zake, mama amewachanganya hamjakaa mumsome kwanza, mpaka sasa naona anaendelea kutengua ujuha wote mliokua nawo, ambao ndio ulikua mtaji wenu humu.
Ila kuna huu uzi jamaa amechambua, nimeusoma neno kwa neno, mlikua hali mbovu sana, hebu usome japo tatizo lenu kubwa uzembe wa kusoma Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza
Ninayo kama Rais wangu,lakini ujue,kuna vitu vigumu Sana ambavyo vinahitaji kuinyesha uwezo binafsi ukiondoa taasisi ya Rais.uwezo wake tutauona kwenye.kwani wewe huna imani na mama???
Hapo sawa. Sera ya kupigwa bao na Kenya kwenye kila jambo, kibiashara, kiuchumi, kimiundo mbinu, kimaendeleo.Sera ya Tanzania kwa Kenya itabaki ile ile jipeni moyo tu.
Inaonekana hujui technicalities za Rais wa Kuchaguliwa kwa kura na Rais wa ku-inherit kutokana na katiba.Hii kweli maana kiongozi lazima awe mwenye kuskliza na kuzingatia ushauri, sema pia hotuba za huyo mama anatumia sana maneno kama "sisi", "serikali yetu"...na sio "mimi" "serikali yangu".....maana kwamba ametambua urais ni taasisi yenye timu ndani yake na sio mtu mmoja. Mtangulizi wake alikua anapenda sana hili la "mimi", nakumbuka kipindi fulani akisema "alikwenda kuchukua fomu yeye pekee yake, hivyo ni yeye tu basi".