avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Wewe MK254 Tanzania sio mtu ni mfumo zile zama za zamani mliokuwa mnatupakazia mambo na kutuibia haki zetu zimeisha, zile zama za kutuchekea kijino pembe zimekwisha, zile zama za kujitambulisha kwenye mitandao kuwa kila kizuri kilichopo Tanzania ni cha Kenya zimekwisha
Sasa hivi ukijaribu jambo lolote baya kwa Tanzania unapata REPRISAL hapo hapo proportional na ulichokifanya dhidi ya jamhuri yeti au mtu wetu
Tunachotaka sasa Bongo, na marehemu Raisi Pomba (rest in eternal peace) alikuwa anasisitiza ni SYMBIOTIC RELATIONSHIP na mataifa na makampuni yote yanayofaya mahusiano na Tanzania , we need mutual respect
Sasa hivi ukijaribu jambo lolote baya kwa Tanzania unapata REPRISAL hapo hapo proportional na ulichokifanya dhidi ya jamhuri yeti au mtu wetu
Tunachotaka sasa Bongo, na marehemu Raisi Pomba (rest in eternal peace) alikuwa anasisitiza ni SYMBIOTIC RELATIONSHIP na mataifa na makampuni yote yanayofaya mahusiano na Tanzania , we need mutual respect