Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.

Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni

a)Miradi ya Urithi kutoka awamu ya 5,iliyokamilika na inayoendelea.

b)Miradi Mipya iliyoanza awamu ya 6 iliyokamilika na inayoendelea.

c)Na miradi ambayo Iko Mbioni kuanza wakati wowote .

Ifuatavyo ni miradi ambayo inatekelezwa na Rais Samia Mkoani Mwanza Kwa Kila kundi.

(a)MIRADI MIPYA
1.Ujenzi wa Barabara za Lami Mitaani mradi wa TACTIC Mwanza CC na Ilemela MC km 32 eg Buhongwa-Igoma

2.Ujenzi wa Soko La Kirumba na Soko la Samaki Mkuyuni Bilioni 25.

3.Ujenzi wa Kampasi ya TIA Usagara-Mwanza ,Bilioni 8

4.Ujenzi wa Soko Kuu la Jiji la Mwanza

5.Ujenzi wa Hospitali ya Jiji gorofa 6

6.Ujenzi wa Majengo Mapya ya Gorofa Chuo Cha Ufundi na Maendeleo Misungwi.

7.Ujenzi wa Jengo jipya la Mwanza Airport na kukarabati wa uwanja kuwa wa Kimataifa

8.Ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi la TBA Ghana Kota gorofa 7

10.Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Ardhi Mwanza (Sengerema)

11.Ujenzi wa Barabara za Mitaani chini ya TARURA eg Kisesa-Bujora,kiyungi road nk

12.Ujenzi wa shule Mpya za msingi na sekondari zikiwemo za gorofa eg Mwanza girls High School(Magu) only for science ,Nyanza P/School etc.

13.Ujenzi wa Hospital za Wilaya eg Sengerema ,Ujenzi wa Vituo vya Afya na ununuzi wa vifaa tiba Wilaya zote za Mwanza.

14.Mradi wa Maji Ukiriguru-Sumve Wilayani Misungwi Bilioni 32.

15.Ujenzi wa Barabara ya Hungumalwa-Ngudu-Magu km 71

16.Ujenzi wa Hospitali Mpya ya Rufaa Ukerewe

17.Upanuzi wa Bandari za Mwanza South sanjali na ujenzi wa vivuko vipya.

18.Ujenzi wa Chuo Cha Michezo Malya (Malya Sports Complex and Training Centre).Zaidi ya Bilioni 40.

19.Ujenzi wa Barabara ya Mabuki-Jojiro-Ngudu

20.Ujenzi wa Barabara ya Mwanza Airport -Kayenze-Nyanguge

21.Ujenzi wa Barabara ya Nansio-Rugezi

22.Ujenzi wa Barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe-Solwa-Kahama km 150.

23.Ujenzi wa Barabara ya Bukokwa-Nyakalilo

24.Ujenzi wa Barabara ya Ilalila-Shibula

25.Ujenzi wa Barabara ya Sengerema -Nyehunge km 54.4 (Bilioni 73).

26.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Simiyu lenye mita 150 pamoja na Barabara Unganishi.

27.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara Unganishi km 4.

28.Ujenzi wa Kituo Cha Kanda Cha Uokoaji Ziwa Viktoria

29.Majengo ya Utawala ya Halmashauri eg Kwimba,Magu, Sengerema DC nk.

30.Ujenzi wa Uwanja Mpya wa Michezo "Tabasam" Sengerema pamoja na Kukarabati wa viwanja vya CCM kirumba na Nyamagana.

31.Mradi wa Maji Kisesa bln 49

media="media="instagram:C89677rNdfd"]
View: https://www.instagram.com/p/C89677rNdfd/?igsh=ZTdkNml4YTQwa2V0[/URL]

View: https://youtu.be/Aq7AGgVXaxQ?si=fb9L7WED3YEdNVdb

(b)Miradi ya Urithi
1.Ujenzi wa daraja la JPM
2.Ujenzi wa Sgr ya Mwanza-Isaka
3.Ukamilishaji wa Stendi za
Nyegezi na Nyamhongolo
4.Ukamilishaji wa mradi wa Maji Butimba
5.Ukamilishaji wa Jengo la OPD Sekou Toure gorofa 6
6.Ukarabati wa Meli kubwa ya MV Mwanza Hapa kazi tuu.
7.Ukamilishaji wa Chuo Cha Ufundi na Teknolojia DIT Mwanza Campus
8.Ukamiloshji wa Tawi la Chuo Cha Mipango Vijijini Mwanza Centre

View: https://youtu.be/n97F4rAuoPs?si=tmTMNkcjX_nX7z3r

(c)Miradi ambayo Iko Mbioni kuanza ni

-Upanuzi wa Barabara ya njia 4 kutoka Mwanza CBD Hadi JPM bridge (lot 1 km 25),CBD-Usagara Jnct km 25.
-Ujenzi wa mgodi mkubwa wa Madini ya Dhahabu Nyanzaga
-Upanuzi wa Barabara kuu ya Musoma kuwa njia 4
-Upanuzi wa Barabara kuwa njia 4 kutoka Usagara-Shinyanga Border
-Kamanga-Katunguru-Sengerema km 3.
-Upanuzi kuwa njia 4 wa Barabara ya Mwanza-Nyanguge km 35.
-Mwanza Airport-Igombe-Kayenze-Nyanguge km 46
-Mkuyuni-Mahina-Nyakato km 10
-Nyakato(VETA)-Buswelu-Mhonze km 18.
Screenshot_20241002-141505.png


My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Samia huko Mwanza.

Kiufupi Samia ameiheshimisha Mwanza kushinda Shujaa waliyedai Anapendelea Kwao.

Kazi Iendelee.CC Nyanduzy , @feke b kidume
[URL unfurl="true" media=

20241016_141715.jpg
20241016_141648.jpg
20241016_141627.jpg
20241016_141607.jpg
20241016_141554.jpg
 
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.

Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni

1.)Miradi ya Urithi kutoka awamu ya 5,iliyokamilika na inayoendelea.

2.)Miradi Mipya iliyoanza awamu ya 6 iliyokamilika na inayoendelea.

3.)Na miradi ambayo Iko Mbioni kuanza wakati wowote .

Ifuatavyo ni miradi ambayo inatekelezwa na Rais Samia Mkoani Mwanza Kwa Kila kundi.

(a)Miradi ya Mipya
1.Ujenzi wa Barabara za Lami Mitaani mradi wa TACTIC Mwanza CC na Ilemela MC km 32 eg Buhongwa-Igoma

2.Ujenzi wa Soko La Kirumba na Soko la Samaki Mkuyuni Bilioni 25.
4.Ujenzi wa Soko Kuu la Jiji la Mwanza
5.Ujenzi wa Hospitali ya Jiji gorofa 6
7.Ujenzi wa Jengo jipya la Mwanza Airport na kukarabati wa uwanja kuwa wa Kimataifa
8.Ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi la TBA Ghana Kota gorofa 7
9.Ujenzi wa Tawi la Chuo Cha DIT Mwanza
10.Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Ardhi Mwanza (Sengerema)
11.Ujenzi wa Barabara za Mitaani chini ya TARURA eg Kisesa-Bujora,kiyungi road nk
12.Ujenzi wa Vyumba vya madarasa na shule Mpya zikiwemo za gorofa eg Kisenga ,Igudija nk katika Wilaya zote.
13.Ujenzi wa Vituo vya Afya, Hospital za Wilaya na ununuzi wa vifaa tiba Wilaya zote za Mwanza.
14.Mradi wa Maji Misungwi
15.Ujenzi wa Barabara ya Hungumalwa-Ngudu-Magu
16.Ujenzi wa Hospitali Mpya ya Rufaa Ukerewe
17.Upanuzi wa Bandari za Mwanza South sanjali na ujenzi wa vivuko vipya.
18.Miradi Ya maji Kila Wilaya chini ya Ruwasa eg Misungwi,Magu nk
19.Ujenzi wa Barabara ya Mabuki-Ngudu
20.Ujenzi wa Barabara ya Mwanza Airport -Kayenze-Nyanguge
21.Ujenzi wa Barabara ya Nansio-Rugezi
22.Ujenzi wa Barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe-Kahama
23.Ujenzi wa Barabara ya Bukokwa-Nyakalilo

View: https://www.instagram.com/reel/C-pz7imOkg_/?igsh=MWR6Z2FycjlkNGptcg==

(b)Miradi ya Urithi
1.Ujenzi wa daraja la JPM
2.Ujenzi wa Sgr ya Mwanza-Isaka
3.Ukamilishaji wa Stendi za Nyegezi na Nyamhongolo
4.Ukamilishaji wa mradi wa Maji Butimba
5.Ukamilishaji wa Jengo la OPD Sekou Toure gorofa 6
6.Ukarabati wa Meli kubwa ya MV Mwanza Hapa kazi tuu.

(c)Miradi ambayo Iko Mbioni kuanza ni
-Upanuzi wa Barabara ya njia 4 kutoka Airport Hadi JPM bridge (lot 1 km 25).
-Ujenzi wa mgodi mkubwa wa Madini ya Dhahabu Nyanzaga
-Upanuzi wa Barabara kuu ya Musoma kuwa njia 4


My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Samia huko Mwanza.

Kiufupi Samia ameiheshimisha Mwanza kushinda Shujaa waliyedai Anapendelea Kwao.

Kazi Iendelee.

Wewe ndo huyo kwenye hiyo video ya Instagram.

Nyau de adriz
 
Kumbe ndio sababu Wanasiasa hawakatiki huko 😂😂

Kwa hiyo sisi wa Njombe hatuna cheti? 🤣🤣
Huko hata msipopiga kura CCM inashinda saa 4 tu Kwenye Urais 😀😀

Kanda ya Ziwa Ndio kila kitu hata Chadema Lowassa aliwaambia Kura ziko Kanda ya Ziwa siyo Kaskazini kama walivyojiaminisha 😂

Akawaletea Dr Mashinji na Bavicha Pambalu 😄
 
Kwani ni mkoa gani ambao hawajengi barabara za mtaa?!
Mkoa gani ambao hawajengi hospitali na vituo vya afya?!
Mkoa gani ambao hawajengi shule?!
Mkoa gani ambao hawana miradi ya maji?!
Mkoa gani ambao hauna miradi ya umeme?!

Acha kumpa sifa bure Mwanza ni jiji lililotengwa na awamu ya sita
Hakuna miradi mipya tofauti na aliyoacha JPM, ukisema barabara hakuna mkoa usio mradi wa barabara!

La uwanja wa ndege lenyewe hata nisiseme ni aibu angekuwa JPM huo uwanja ungekuwa na hadhi nyingine kabisa!.
Hebu tupunguze sifa kwa vitu ambavyo kila mmoja anaona na kuchambua mwenyewe!.
 
Mtoa mada, naomba useme ni awamu gani miradi ilikauka kutokupelekwa huko Mwanza?
Tokea 2021 kila mwaka hizohizo miradi zimekuwa zikiongelewa kila wakati Samia akitembelea mwanza.
Nafikiiri na pia nakushauri ebu leta miradi mipya ndiyo yazungumzwe yaani hadi barabara za mitaani pia unazisema kama miradi maana sana.
 
Kwani ni mkoa gani ambao hawajengi barabara za mtaa?!
Mkoa gani ambao hawajengi hospitali na vituo vya afya?!
Mkoa gani ambao hawajengi shule?!
Mkoa gani ambao hawana miradi ya maji?!
Mkoa gani ambao hauna miradi ya umeme?!

Acha kumpa sifa bure Mwanza ni jiji lililogengwa na awamu ya sita
Hakuna miradi mipya tofauti na aliyoacha JPM, ukisema barabara hakuna mkoa usio mradi wa barabara!

La uwanja wa ndege lenyewe hata nisiseme ni aibu angekuwa JPM huo uwanja ungekuwa na hadhi nyingine kabisa!.
Hebu tupunguze sifa kwa vitu ambavyo kila mmoja anaona na kuchambua mwenyewe!.
Wewe ni punguani na mpumbavu.

Soma mada ndio uje kuchangia sio kukurupuka kama kenge ameona mvua.

Nimebainisha utofauti hapo Juu ni wajibu wako kubisha Kwa facts sio unaropoka tuu.

Mikoa Mingi tuu hakuna hizo Barabara na kama zinajengwa basi ni za Samia mfano Tanga,Kilimanjaro,Songwe,Njombe na mingine Mingi tuu.
 
Mtoa mada, naomba useme ni awamu gani miradi ilikauka kutokupelekwa huko Mwanza?
Tokea 2021 kila mwaka hizohizo miradi zimekuwa zikiongelewa kila wakati Samia akitembelea mwanza.
Nafikiiri na pia nakushauri ebu leta miradi mipya ndiyo yazungumzwe yaani hadi barabara za mitaani pia unazisema kama miradi maana sana.
Tofautisha 2 na 3
 
Back
Top Bottom