Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akili kisoda matusi mtajiwako

Yaani umeona gorofa ni thamai
Bwege kabisa wewe
Nyumba ya chini inaweza kuwa ya gharama kuliko mobox ghorofa unayo yasifu

Kapuku Mkubwa chunga domo lisilopigwa mswaki

Chawa wahedi wewe
Onyesha shule mlizojengq Wacha empty words.

Umewahi ona wapi shule ya chini ikawa ghali kushinda ghorofa?

By the way hata hizo za chini tunazo kama zote mfano hizi hapa πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C1vA3DmtcWP/?igsh=NTNoZDNhMnZrajE1
View: https://www.instagram.com/p/C1u_Z0rtQc2/?igsh=MWd0aHp6am45YXQwZA==
 
Lengo ni kuinasa ngome ya Kanda ya ziwa, ni kama ilikuwa CCM wameanza kupoteza ushawishi.

Na ndio sababu ya Dotto Biteko kutokea kanda ya ziwa kuwekwa makamu wa Waziri Mkuu
CHADEMA hii ilikuwa ngome yao kipindi Cha akina Dr.slaa ,sijui kwanini Tena mlijisahau mkatepeta ,leteni Tena operesheni sangara
 
Hasafishiki ni mchafu kuliko choo cha stend! hakifai hata kunyea watu wastaarabu! halafu sema hizo fedha ni za mamaye au kati ya michepuko yake!!?? Kama na wewe unahitaji kuchepuka naye jiandae kukabilia na majini ya waziri salum
Kwani wewe ukimuona mchafu ndio itafuta hiyo miradi anayofanya? πŸ˜‚πŸ˜‚

Yupo hapa Hadi 2030 na huna Cha kumfanya ni utake au usitake na kazi ataendelea kupiga na tutakuonesha.

Bado hujasema Hadi useme πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DBAoRzsNAem/?igsh=cXdpcW9xZ2oxM3di
 
Acha fix; miradi yote kanda ya ziwa iliasisiwa na Marehemu Jiwe, mama kizi anakamikisha tu tena anafanya sababu hana namna ya kuitelekeza.

Sifa ziende kwa Jiwe, alijitahidi sana kuipandisha juu kanda ya ziwa pamoja na umafia wake wa kupoteza roho za watu zisizo na hatia.
 
Nimekupa list ya miradi 30,niletee hata mmja ambao umeanza kabla ya 2021.

Naona chuki zinawasumbua ila tuko hapa kuweka rekodi sawa na hizo rekodi zinaonesha kabisa Mama amefunika Shujaa wenu sio tuu huko Mwanza Bali Nchi nzima.

Bado hujasema Buchosa wanashangilia uwepo wa Maji chini ya mradi wa Visima 900 Nchi nzima wa mama πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DBbvpHvsgFM/?igsh=dzViZDBqZHp6M2g1
 
we chawa mchafu, mradi ulikuwa ushaanza, utajulia wapi upo makete huko unaishi kwa matumaini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…