Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sanane island huko kungejengwa ukumbi mkubwa wa mikutano mithili Kama ule wa Arusha AICC wenye umbo la samaki na hoteli Kama mbili zenye nembo hiyo,hiyo ndo uniqueness ya awamu ya 6 tulitaka kuona,sipingi uliyo sema ,Ila umeandika kiushabiki Sana ,Kama vile mwanza imeanza Jana,lakini kumbe miradi hiyo tulitakiwa kuipata miaka ya 1990s, Ila tulicheleweshewa tu,siyo hisani,aksante na kwa hicho pia mama,Ila siyo unique sababu na kwingine IPO,u unique wa mwanza nimeeleza hapo,na Utalii utakuwa Sana mwanza
 
Hujui kitu wewe,watu wanakula ushuru na tozo za Halmashauri zinajenga Barabara ,mfano huu hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBQbkm3iagB/?igsh=M3c2a3l2eGh4dnhu
Mwanza ni Mji local na maskini sana.Fikeni level hizi ndio mje kushindana na Dom HQ 👇👇
 
Ulikuwepo wakaukataa,si unajua hapa Tanzania Kuna siasa za kipumbavu za kuwachukulia wawekezaji kama wezi na miradi ya kufaidisha Wanasiasa?
 
Serikali za awamu zilizopita ndio ziliwatelekeza na Kwa kuwa mlikuwa wajinga mkawa mnashangilia miradi ya Maonesho ambayo haiwezi kuwasaidia Kwa lolote.

Mwisho mtoe SSH kwenye upuuzi wenu,hiyo orodha hapo Juu imegusa Kila sekta na ni Samia huyo huyo ndio ametoa pesa wanakamilisha hoteli ya Nssf ambayo Shujaa wenu aliitelekeza Toka enzi za JK.

Na on top of that ni Samia huyo huyo ndio anajenga upya Mwanza Airport na kulipa hadhi ya Kimataifa.

Ni Serikali ya Samia ambayo unajiandaa kujenga hoteli za Kisasa hapo Mwanza Airport.

Nilitegemea umpe maua yake walau Kwa kugusa na kumiminwa miradi ya muhimu wewe unambeza,kama ni university why hakuna hizo high school unazolalamikia hapa?

Jifunze kutumia ubongo sawa sawa badala ya chuki 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DAVjhiSN8I7/?igsh=MTJ1NmJ4aW5maXQ2Zg==
View: https://youtu.be/LditTksgQ68?si=vA1BrmX_5GQTE9bs
 
Samia siwezi kumbeza,ninachokikataa ni kusema mwanza imependelewa ,utadhani kwamba miradi mingine ya maji,afya,umeme nk haifanyiki kwingine,hiyo sikweli,neno kupendelewa lingekuja tu labda Kama project nilizotaja kama zingekuwa ziko implemented,kwa hiyo punguza ushabiki ,uwe rational,walau kidogo
 
Heading umeielewa? Wewe ndio umesema Mwanza imetelekwzwa bila kueleza specifically how?
 

Wabeeja gete mayo daktari Samia Suluhu Hassani kwenha mamihayo gawiza genaya ku ng’wanza.

Banhu henaha bareshunuraga geete. Neyo ruulu bakonona. Shunuragi geete
Abatatogirwe mandeleyo mkunyaa.
 
Tofautisha 2,3 na 4.

Wapi nimesema hawakufanya kitu? Unakurupuka

Wabeeja gete mayo daktari Samia Suluhu Hassani kwenha mamihayo gawiza genaya ku ng’wanza.

Banhu henaha bareshunuraga geete. Neyo ruulu bakonona. Shunuragi geete
Abatatogirwe mandeleyo mkunyaa.
Basukuma bagalu na bagika jagi kubulabo mkeebe nzoka yu henge, bamunhu bugawa bugaawa,
 
Hahaha sisi wa kanda ya ziwa tunafahamu Bila Magufuli hata mbegu za pamba wangepeleka Zanzibar. Kura zetu labda mzinunue, hatupigii kura raia wa kigeni.
🚮🚮🚮🚮 Kwa hiyo Magufuli aliwaletea mbegu?

Mwisho usiweke ujumuishi sema wewe maana sio Kila anaeishi Mwanza ni mjinga kama wewe.
 
ucho Uchochoro unaita barabara 😂😂😂, Milioni 400 haiwezi kujenga hata nusu kilomita ya barabara bali inajenga vichochoro vya mitaa huko.
ushuru kausha damu unakula watu watu hawali ushuru, serikali kuu iliweka kwenye miamala ya kifedha nchi nzima mkapiga yowe, sasa huko dodoma ambako wahana mchango wowote kwenye pato la taifa wameweka kwenye bamia na nyanya chungu ndo maana wanazidi kuzalisha omba omba na milembe wodi zinatanuliwa sababu vichaa wanaongezeka sababu ya hali mbaya ya uchumi.
 
Kuna mada ya Mwanza vs Dodoma,Mwanza vs Arusha nenda ukachangie Ili tukupe za uso.

Huku unachafua mada yangu.
 
Kuna mada ya Mwanza vs Dodoma,Mwanza vs Arusha nenda ukachangie Ili tukupe za uso.

Huku unachafua mada yangu.
Mada zako unajichafulia mwenyewe, ukiona tu Mwanza inazungumziwa jinsi inavyopaa kiuchumi na maendeleo lazima upate mchecheto wa kutaja Arusha, Mbeya, dodoma, njombe, nk ili kufariji nafsi yako dhidi ya chuki yako kuu juu ya mwanza, Magufuli na wasukuma, Dodoma yenyewe uliyoanza kuisifia juzijuzi hapa ni jitihada za hayati magufuli unayemchukia.
 
Kwa SSH Kila goti litapigwa Kwa shangwe na shujrani.

Mwanza wameanza,wanajiukiza mama amewezaje na Shujaa alishindwa? 👇👇

View: https://youtu.be/vvwb5guONc0?si=yqAXhviiZ0iCwIuQ
 
CBE,DIT,TIA,Ardhi university nimesort hivyo hayo ni makaratasi ndugu yangu (draft), MWANZA natembea kila siku huku napajua,umetaja ukiriguru,pale wanatunuku shahada au astashahada tuanzie hapo kwanza, punguza chumvi kwenye habari zako,si mchukii SSH ,Bali naonesha tu uhalisia,CDTI iliyoko mwanza inatunuku tunu sawa na CDTI ya pale TENGERU?
IT
 
Wewe Jamaa ni mzima kweli? Kukaa jirani na mahaka ndio kujua sheria?

Wewe si ulizungumzia Vyuo vya Kati na Polytechnique? Kwamba umeenda Usagara ukakuta TIA haijengwi pale?

Vyuo Vikuu,Ardhi University imeanza ujenzi Sengerema,Chuo Cha Mipango tayari kimeanza kutoa kozi zake Mwanza au hata hujui kuliko?👇👇

View: https://youtu.be/_EQ8nl2LYck?si=rkdWPmobhzlF6KP4
Mwisho Kwa kukusaidia tuu ni kwamba umeuliza shule za Advance,kuna shule Mpya ya Mkoa ya wasichana imejengwa.

Pia Chuo Cha Benki Kuu Mwanza kinatoa Bachela na viko 2 tuu Tanzania nzima,nenda Capri Point utakikuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…