Kwa Huyu kipa Simba tumepigwa na kitu kizito

Kwa Huyu kipa Simba tumepigwa na kitu kizito

Kipa kafanya kosa la kawaida la kibinadamu. Kafanya saves za muhimu ambazo hata hao tunaoaminishana wasingefanya. Anayesema kipa shati atupe takwimu za kipa mzuri wa Simba alivyoenda Zambia matokeo yalikuwaje. Mpira una mambo mengi sana hasa ukiwa ugenini, ndo maana Horoya anampiga Simba 1 bila kwake ila kwa Mkapa anakula 7 ndani ya wiki moja
 
Hivi golie analaumiwa vipi wakati mzamiru alikuwa anamtolea macho mfungaji wakati anapiga shuti!!! Mimi ninachokiona simba tm hawana hasa eneo la kati na hawa wakina kapombe wanajisahau sana
Wewe ni unafahamu mpira..! Wengi siku hizi wanaongozwa na hisia tu. Sijaona kosa la golikipa pale, mpira umedunda ule. Kipa yeyote anafungwa
 
Hatahivyo kocha wa simba ni mzuri.ila akitoa ripot ya watu anaowataka kwenye kusajili, uongozi ukileta watu wanaotaka wao kwaajili ya upigaji, ni kuacha kazi tu.kwasababu mzee wa watu anahangaika wee..lakini machezaji yenyewe madunduka yote.
 
Hujui mpira wewe. Unatoa conclusion kwa mchezaji ktk game moja? Huko mazoezini unajua alimshawishi vp kocha? Ninachoona mm robatinyo hajui kuipangilia vzr mifumo ya timu so far wachezaji wanatunia uwezo wao binafsi.
Shida ya Tanzania kila mtu kocha mhasibu mwanasheria wakala daktari mwanasaikolojia mtabiri. Hatuheshimu kabisa taaluma
 
Wakuu huyu Ayoub Lakred hamna kitu. Tujiandae kufungwa goli za kutosha msimu huu.
Lile ni zaidi ya pazia
Screenshot_20230916-200556.jpg

WanathiimbaaAaa
 
Shida ya Tanzania kila mtu kocha mhasibu mwanasheria wakala daktari mwanasaikolojia mtabiri. Hatuheshimu kabisa taaluma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kipa hana tatizo, timu nzima inahitaji kuwa serious.

So far this is football wapunguze makosa, makundi tunatimba.

Bora haya yameonekana ugenini ili wayasahihishe kabla ya marudiano
Malizia kabisa kwa kusema "makundi tutatimba! ila na safari yetu nayo msimu huu, ndiyo itaishia hapo"!!!
 
Hujui mpira wewe. Unatoa conclusion kwa mchezaji ktk game moja? Huko mazoezini unajua alimshawishi vp kocha? Ninachoona mm robatinyo hajui kuipangilia vzr mifumo ya timu so far wachezaji wanatunia uwezo wao binafsi.
Fact
 
Kwa upande wa kipa bado hakuna majibu ya moja kwa moja kwamba nk galasa, ngoja tumpe muda kwa sababu ule mpira ni kama vile ulidunda.

Ukiniuliza kwa haraka haraka makosa ya Simba leo ntakwambia:

1. Ni wale mabeki wawili Inonga na Malogne. Hawa bado wanakaa mstari mmoja na wanajiamini kupita kiasi na sifa kibao hasa Malogne, Inonga alishapunguza mbwembwe. Ni kama vile hakuna wa kumtuma mwenzake. Hata goli la kwanza ni uzembe wa Malogne kwa sababu alienda na mshambuliaji nyuma yake ila akamuacha na kurudi ndani badala ya kwenda naye mpaka mwisho na mshambuliaji akapiga mpira akiwa huru. Alifanya hivyo akijua Inonga atauokoa ule mpira.

2. Shabalala ajiangalie sana. Pia Simba watafute namba tatu ambaye atakuwa anakaba na kupandisha timu kikamikifu. Shabalala amechoka kukaba.

3. Baadhi ya wachezaji wa Simba kuanzia katikati kwenda mbele ni wavivu kukaba na ndicho kiliwaponza kupelekewa moto kipindi cha kwanza. Inawezakana tatizo ni pumzi. Dynamo wenyewe walikuwa wanapanda wote na wanarudi wote.

4. Nafikiri kocha anajiaminisha kuwa ana kikosi kipana na kila kikosi kitampa matokeo wakati si kweli. Lazima awe na kikosi cha kwanza. Kile kikosi cha kipindi cha pili akiwemo na Ntibazokiza ndio kikosi kinapaswa kiwe cha kwanza. Chama alishindwa kucheza kabisa kipindi cha kwanza, ila kipindi cha pili aliwasha moto kwa sababu ya wachezaji walioingia.
 
Kipa hana tatizo, timu nzima inahitaji kuwa serious.

So far this is football wapunguze makosa, makundi tunatimba.

Bora haya yameonekana ugenini ili wayasahihishe kabla ya marudiano
Simba toka wapigwe 2 za chapchap na Mtibwa nilijua hakuna ukuta kabisa 🤔
 
Back
Top Bottom