Kwa huyu kocha mpya Simba SC imelamba dume

Kwa huyu kocha mpya Simba SC imelamba dume

Kocha wenu mpya amepitia timu tofauti tofauti 12.

Je kama ni kocha Bora ametwaa taji gani ndani ya hizo timu 12 alizopitia?

Lopetegui alipokuja Real Madrid akamkuta huyu mwana.

Akaandika barua kwa rais ili jamaa asepeshwe mara moja Jamaa hakumaliza miezi 3 akafukuzwa.
Kushabikia yanga lazima nati kichwani ziwe zimelegea.

Watu wanajadili yao wewe umekomaa tu kupinga. Hizi ni dalili za uchawi.
 
Back
Top Bottom