Kwa huyu Kocha mpya Simba SC mmepigwa tena, mjiandae kisaikolojia kukosa mataji msimu ujao

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Zoran Manojlović




Ndio jina la Kocha Mpya Wa Simba SC, Yes Baada ya Kumaliza Kupitia File lake Nimegundua kuwa Msimu Ujao unaenda kuwa msimu mwingine mzuri kwa WanaJangwani.

Kutokana na Rekodi zake Huyu Babi Bado hajafikia hata nusu ya Mafanikio ya Kocha Nasreddine Nabi.




Huyu mzee Zoran Manojlović hajawahi kumaliza msimu mmoja kwenye klabu moja.

Mara nyingi amekuwa akifukuzwa au kuomba kuondoka mwenye pale anapoona Majinyamezidi Unga.


Belouizad CR walimfukuza kwa sababu licha ya kuisaidia klabu kutwaa Kombe, Klabu ilikuwa ikicheza mpira kama MajiMaji FC.

Huko Al Tai nako wakamfukuza kutokana alinusurika kuishusha daraja hiyo klabu.




Mmeamua kucheza kamali katika hili watani zangu. Ndio maana mlikuwa mnavizia Mkataba wa NABI uishe ili mumlaghai.

Alipowajibu kuwa halamaliza kilichompeleka Yanga ndio mkaamua liwalo na liwe ngoja tujaribu na huyu.

 
Zoran Manojlović

View attachment 2275832

Ndio jina la Kocha Mpya Wa Simba SC, Yes Baada ya Kumaliza Kupitia File lake Nimegundua kuwa Msimu Ujao unaenda kuwa msimu mwingine mzuri kwa WanaJangwani.

Kutokana na Rekodi zake Huyu Babi Bado hajafikia hata nusu ya Mafanikio ya Kocha Nasreddine Nabi.

View attachment 2275836

Huyu mzee Zoran Manojlović hajawahi kumaliza msimu mmoja kwenye klabu moja.

Mara nyingi amekuwa akifukuzwa au kuomba kuondoka mwenye pale anapoona Majinyamezidi Unga.

View attachment 2275841
Belouizad CR walimfukuza kwa sababu licha ya kuisaidia klabu kutwaa Kombe, Klabu ilikuwa ikicheza mpira kama MajiMaji FC.

Huko Al Tai nako wakamfukuza kutokana alinusurika kuishusha daraja hiyo klabu.

“He was employed 6 times in a a space of 4 years”

Mmeamua kucheza kamali katika hili watani zangu. Ndio maana mlikuwa mnavizia Mkataba wa NABI uishe ili mumlaghai.

Alipowajibu kuwa halamaliza kilichompeleka Yanga ndio mkaamua liwalo na liwe ngoja tujaribu na huyu.
 
Yaani pilipili ale mwamedi uwashwe wewe,kama kocha kimeo we inakuhusu nini,unamlipa wewe au
 
Mwanaume unatakiwa uwe na uwezo wa kuhandle mambo madogo kama haya.... sasa wewe nikukurupuka tu, hunastamina, sijui hata kama nguvu za kiume unazo... kama umepagawa tukupeleke kwa Mwamposa!
 
Unajua mashabiki na watu wengi wa mpira hapa bongo ni wajinga sana.

Hii ligi nmataka kuikuza tu lakini kiuhalisia bado ni ndogo sana, Nabi kafukuzwa Merrekh na team nyingine kubwa lakini kaja hapa mnamuimba kama malaika, wachazaji wengi wa nje wanaotamba hapa ni REJECT wa team kubwa huko (kama kuna anabisha akanushe kwa ushahidi), wachezaji wetu wa ndani ndo viazi kabisa.

Ligi yetu ni ndogo na nyepesi sana kwahiyo sio ajabu akapeform vizuri hasa ukizingatia analijua vizuri soka la Africa na alishabeba hata ubingwa kwenye ligi ngumu akiwa na CR Beulzidad ambayo ni team ya kawaida na team nyinginezo kubwa.

Kikubwa apewe ushirikiano na asajiliwe wachezaji wazuri wenye viwango ili kibarua chake kiwe chepesi huko kimataifa na hapa ndani.

Naambatanisha na picha ndogo ya mnayeamini kuwa ni kocha mkubwa sana.
 
Rekodi bora za kocha mpya wa Simba SC ligi ya Mabingwa


Takwimu za mechi
[emoji419]Mechi 26
[emoji419]Ushindi 12
[emoji419]Sare - 10
[emoji419]Vipigo - 04
Tupe na record ya Nabi basi[emoji23]
 
Ila hii tm ina wapumbavu wengi sana,yaani unakimbilia kuanzisha uzi az if Kuna kitu unakijua kumbe ni ushabiki wa kipumbavu tu, hivi huyo nabi amefurumushwa mara ngapi huko alikopita.Rubbish
 
Hoja yako ni ipi?

Kwamba kocha mbovu

Au kocha hakai na timu muda mrefu?

Nitajie kocha wa simba au yanga alie kaa na timu miaka mi3


Mtu kafundisha

wydad Casablanca Morocco
_belouzidad _ Algeria
_agosto de angola_angola
_al hilal_sudan

Kocha kama huyu atakuwaje mbovu?
Au atakosaje uzoefu na soka la africa?

Simba wakifeli wasisingizie kocha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…