Unajua mashabiki na watu wengi wa mpira hapa bongo ni wajinga sana.
Hii ligi nmataka kuikuza tu lakini kiuhalisia bado ni ndogo sana, Nabi kafukuzwa Merrekh na team nyingine kubwa lakini kaja hapa mnamuimba kama malaika, wachazaji wengi wa nje wanaotamba hapa ni REJECT wa team kubwa huko (kama kuna anabisha akanushe kwa ushahidi), wachezaji wetu wa ndani ndo viazi kabisa.
Ligi yetu ni ndogo na nyepesi sana kwahiyo sio ajabu akapeform vizuri hasa ukizingatia analijua vizuri soka la Africa na alishabeba hata ubingwa kwenye ligi ngumu akiwa na CR Beulzidad ambayo ni team ya kawaida na team nyinginezo kubwa.
Kikubwa apewe ushirikiano na asajiliwe wachezaji wazuri wenye viwango ili kibarua chake kiwe chepesi huko kimataifa na hapa ndani.
Naambatanisha na picha ndogo ya mnayeamini kuwa ni kocha mkubwa sana.
View attachment 2275909