Zoran Manojlović
View attachment 2275832
Ndio jina la Kocha Mpya Wa Simba SC, Yes Baada ya Kumaliza Kupitia File lake Nimegundua kuwa Msimu Ujao unaenda kuwa msimu mwingine mzuri kwa WanaJangwani.
Kutokana na Rekodi zake Huyu Babi Bado hajafikia hata nusu ya Mafanikio ya Kocha Nasreddine Nabi.
View attachment 2275836
Huyu mzee Zoran Manojlović hajawahi kumaliza msimu mmoja kwenye klabu moja.
Mara nyingi amekuwa akifukuzwa au kuomba kuondoka mwenye pale anapoona Majinyamezidi Unga.
View attachment 2275841
Belouizad CR walimfukuza kwa sababu licha ya kuisaidia klabu kutwaa Kombe, Klabu ilikuwa ikicheza mpira kama MajiMaji FC.
Huko Al Tai nako wakamfukuza kutokana alinusurika kuishusha daraja hiyo klabu.
Mmeamua kucheza kamali katika hili watani zangu. Ndio maana mlikuwa mnavizia Mkataba wa NABI uishe ili mumlaghai.
Alipowajibu kuwa halamaliza kilichompeleka Yanga ndio mkaamua liwalo na liwe ngoja tujaribu na huyu.
Hili ni hitimisho. Uzi uishie hapa kuficha ujinga wa wana Yanga. au hapa JF ni field attachment ya kozi?Yanga wamefungua chuo cha ujinga na kila mwezi kinatoa wahitimu mia tano naona nyuzi za kijinga zinaongezeka kwa kasi ya 5G hapa jukwaani
Hili ni hitimisho. Uzi uishie hapa kuficha ujinga wa wana Yanga. au hapa wako fieldYanga wamefungua chuo cha ujinga na kila mwezi kinatoa wahitimu mia tano naona nyuzi za kijinga zinaongezeka kwa kasi ya 5G hapa jukwaani
Uzi wa takwimu Kibu D Vs Mayele na Try again kupindua meza kwa Ki Aziz ni moja nyuzi za kiboya kuwahi kutokea Jf na zililetwa na KoloWizard hapa .Hili ni hitimisho. Uzi uishie hapa kuficha ujinga wa wana Yanga. au hapa wako field
unajadili mada gani?Uzi wa takwimu Kibu D Vs Mayele na Try again kupindua meza kwa Ki Aziz ni moja nyuzi za kiboya kuwahi kutokea Jf na zililetwa na KoloWizard hapa .
Najadili mada hii maana kuna watu wanamshambulia mtoa mada na Yanga kuwa wana nada za kipuuzi sasa nilichofanya ni kukumbusha moja Kati ya nyuzi za kiboya zilizowahi kuletwa na makoloz hapa Jfunajadili mada gani?
😄😄😄😄"Dar to Lagos"Weka na za nabbi hapa za ligi ya mabigwa ukiachana na zile za dar 2 lagos
kumbuka Nabi alifukuzwa El-Merreikh baada ya Simba kupata sare ugeniniMmeamua kucheza kamali katika hili watani zangu. Ndio maana mlikuwa mnavizia Mkataba wa NABI uishe ili mumlaghai.
Nilitegemea useme utajikata mikono. Sasa unataka tukukate mikono tuanze kuhangaika na kesi za shambulio la mwili?NB: Nawaambia Kama atafika mwezi October njooni mnikate mkono 🤣
Weka na nabi hapaMaake kwanza nicheke 😂.Kama atafika hadi mwezi October njooni mnikate mkono🤣.
👉Akiwa Morroco klabu ya Wydad Ac alianza kazi taehe 20.7.2019 na tarehe 13.1.2020 Akafukuzwa kazi😂alidumu kwa miezi 6 tu.
👉Akiwa Sudan Al Hilal alianza kazi tarehe 23.10.2020 na tarehe 2.3.2021 Akafukuzwa kazi 😂 alidumu kwa miezi minne tu.
👉Akiwa Algeria CB Belouizdad alianza kazi tarehe 1.5.2021 na tarehe 27.8.2021 wakamfukuza kazi alidumu kwa miezi mitatu tu🤣.
👉 Akiwa Uarabuni Al Tal alianza kazi tarehe 29.8.2021 na tarehe 7.11.2021 wakamfukuza kazi alidumu kwa miezi 2 pekee 🤣.
NB: Nawaambia Kama atafika mwezi October njooni mnikate mkono 🤣
umeshakula wali kwa shemeji yako umepata nguvu ya kufitinisha
Yaani mwandiko wako tu unaonyesha jinsi gani ulivyolegea. Acha tabia hiyo mtoto wa kiume. Umbea haukuishi kama mke aliyeachika!!?kocha mpya wa simba ni hatari nasikia anaweza kupangakikosi bila kipa na akashinda,atafanya kibu denis awe kama messi,boko boko kama lewandowski na mhilu kuwa kama mane[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu jamaa hakukosea.View attachment 2275941