Kwa huyu kocha mpya wa Yanga, Dube kupewa kipaumbele na Aziz Ki kutumia nguvu nyingi kwenye pisi, Kipigo hakikwepeki Derby, Simba wanazirudisha zote 5

Kwa huyu kocha mpya wa Yanga, Dube kupewa kipaumbele na Aziz Ki kutumia nguvu nyingi kwenye pisi, Kipigo hakikwepeki Derby, Simba wanazirudisha zote 5

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Zinarudi zote na zinaweza kuzidi,

Kocha mpya wa Yanga itamchukua muda mrefu kuingiza kikosi kwenye mfumo wake, Motivation ipo chini, wachezaji wamechanganyikiwa kubadilishwa makocha kila leo, Mindset za wachezaji wanajua kocha mpya anatimuliwa muda wowote.

Unahitaji akili za kawaida kabisa kujua kwamba Dube ni lazima apangwe licha ya ubovu wake, hadi afunge goli basi kakosa nafasi kibao za wazi, ana shine zaidi akicheza na timu level za Kengold

Azizi Ki kawa mdau mkubwa wa kujivinjari na pisi kali, Uwezo wake uwanjani umepungua
 
Ningekuwa raisi wa nchi hii ningefuta klabu ya yanga inali aibisha taifa

Nimeamini kile ni kikundi cha wahuni
 
Tunautunz huu uzi kwa matumizi ya baadae.

Nakala kwa vijana wa Mudi wote
 
Tunaendeleza siyo kurudisha tulishawachakata 5-0 tunataka tuendeleze hapo
 
Back
Top Bottom