Pre GE2025 Kwa huzuni aliyokuwa nayo Mbowe inaonesha anaenda kuachia ngazi akiwa na uchungu sana, kwa kulazimishwa ila si mapenzi yake

Pre GE2025 Kwa huzuni aliyokuwa nayo Mbowe inaonesha anaenda kuachia ngazi akiwa na uchungu sana, kwa kulazimishwa ila si mapenzi yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Inaonesha Mbowe anaenda kuachia kijiti, anaongea kwa uchungu kama Lucas Mwashambwa anavyobubujikwaga machozi ya huzuni :BearLaugh: :BearLaugh:

Au ndio anatuonyesha ile historia yake aliyosema haitaji kujieleza ili ajilipue?:BearLaugh: Ulishatuambia huhitaji kujieleza sana, sasa kwanini leo unajieleza sana? Au unafikiri kuna watu wamesahau wanahitaji kukumbushwa umuhimu wako?

Pia soma:
Wananchi tunataka kusikia huo uamuzi hatutaki hizo bra braa unatupotezea muda ndugu muheshimiwa Mwenyekiti.
 
Corrections; Lucas Mwashambwa hububujikwa machozi ya furaha kwa mambo mazuri ambayo Mama Samia anawafanyia Watanzania.
 
Wakuu,

Inaonesha Mbowe anaenda kuachia kijiti, anaongea kwa uchungu kama Lucas Mwashambwa anavyobubujikwaga machozi ya huzuni :BearLaugh: :BearLaugh:

Au ndio anatuonyesha ile historia yake aliyosema haitaji kujieleza ili ajilipue?:BearLaugh: Ulishatuambia huhitaji kujieleza sana, sasa kwanini leo unajieleza sana? Au unafikiri kuna watu wamesahau wanahitaji kukumbushwa umuhimu wako?

Wananchi tunataka kusikia huo uamuzi hatutaki hizo bra braa unatupotezea muda ndugu muheshimiwa Mwenyekiti.
hakunaga mapenzi kwenye mapambano hususani ya kizalendo dhidi ya ukoloni mamboleo unaosimamiwa na Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi humu nchini, ambae ana tamaa na uchu wa madaraka kupindukia 🐒
 
Hata Mwalimu Nyerere kuachia nchi aliwaza mpaka akapata ugonjwa unaitwa Leukemia,
Noma sana, ila kwa jinsi anavyoendelea kuongea sidhani kama anaachia, vijembe anavyorusha kwa Lissu ni kama analay foundation inayoonesha 'chama chake' kinatumbukia ili Shujaa aje kukiokoa :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:
 
Wakuu,

Inaonesha Mbowe anaenda kuachia kijiti, anaongea kwa uchungu kama Lucas Mwashambwa anavyobubujikwaga machozi ya huzuni :BearLaugh: :BearLaugh:

Au ndio anatuonyesha ile historia yake aliyosema haitaji kujieleza ili ajilipue?:BearLaugh: Ulishatuambia huhitaji kujieleza sana, sasa kwanini leo unajieleza sana? Au unafikiri kuna watu wamesahau wanahitaji kukumbushwa umuhimu wako?

Wananchi tunataka kusikia huo uamuzi hatutaki hizo bra braa unatupotezea muda ndugu muheshimiwa Mwenyekiti.
Ukweli Mbowe apumzike inatosha asee
 
Wakuu,

Inaonesha Mbowe anaenda kuachia kijiti, anaongea kwa uchungu kama Lucas Mwashambwa anavyobubujikwaga machozi ya huzuni :BearLaugh: :BearLaugh:

Au ndio anatuonyesha ile historia yake aliyosema haitaji kujieleza ili ajilipue?:BearLaugh: Ulishatuambia huhitaji kujieleza sana, sasa kwanini leo unajieleza sana? Au unafikiri kuna watu wamesahau wanahitaji kukumbushwa umuhimu wako?

Wananchi tunataka kusikia huo uamuzi hatutaki hizo bra braa unatupotezea muda ndugu muheshimiwa Mwenyekiti.
We need new blood
 
hakunaga mapenzi kwenye mapambano hususani ya kizalendo dhidi ya ukoloni mamboleo unaosimamiwa na Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi humu nchini, ambae ana tamaa na uchu wa madaraka kupindukia 🐒
Kweli naunga mkono hoja.
 
Wewe tena, kama una maanisha vile :BearLaugh: :BearLaugh:
mpambanaji, comrade Yasser Arafat kiongozi wa mamlaka ya Palestine kwasabb ya ubize katika kuipambania Palestine alichelewa kuoa na hakujihusisha na mapenzi. Alioa akiwa na umri wa miaka 61🐒
 
Rudia kupiga ramli.Inaelekea hujui unachodai kujua.
 
Back
Top Bottom