Haya yote tunayoyasikia xaxa huh. Mkt Mbowe tuxingeyaskia angekbali kupumzika na kuachia damu mpya uongozi. Angepumzika akiwa na ushujaa wake kw CDM kuwa chama kikuu cha upizani ktk kipindi chake. Lkn xaxa anaxabbsha kutokea upinzani na maharufu ya hovyo ndn ya chama ambayo wtu wengi walikua hawayajui. Hata akishinda, sifa zake mpya ztahusishwa na mixaada toka kw mama na ccm yake- nami xidhani kushuka au kuharibu jina la chama kikuu cha upinzani, kutajenga zaidi jina lake. Atalinganishwa na viongozi wengine wanao husishwa na uchawa ktk chama twawala- sio tena yule "Mwamba" tulie mjua na kumweka ktk nyimbo za "kumtukuza". Wataxema "kwisha habari yake" na suala la "kulambishwa asali" itaonekana kuwa kweli, hakusingiziwa. Kama vile umaarufu umeingia kichwani naye anaogopa kutokua maarufu ...nk