Kwa Jaji mkuu Tanzania

Kwa hiyo hao mahakimu kesi za madai wao wanazigeuza zinakua kesi za jinai!? Huo ni uhuni wa kiwango cha juu sana wanachofanya na inabidi wachukuliwe hatua za kinidhamu na kimaadili!!
 
Shenzisanaaa
 
Hata Mimi yalinikuta,mke wangu alinipeleka mahakama ya mwanzo hapa Dodoma,Hakimu akanifanyia makusudi nikaenda magereza! Nashukuru Mungu sipendi kuonewa nilimpeleka mbele ya kamati,alinikoma Hakimu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…