Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Habari zenu bandugu,
Kwa jamaa zangu wanaotafuta kazi japo mzingatie haya machache
1) Hakikisha CV yako ni fupi kwa kadiri inavyowezekana max page 2 ukishindwa kabisa 3 .Kama huwezi kuandika CV tafuta mtu akusaidie.
2)Kabla hujaenda kwenye Interview jaribu kuzungumza na mtu yeyote anayefanya kazi kwenye hiyo taasisi/kampuni muulize yeye alifanya interview ya namna gani kama anakumbuka chukua "desa" hamna tatizo, ukishindwa basi pitia kwenye tovuti yao usome japo mawili tatu ikiwemo mission na vision ni mambo ya msingi haya.
3) Siku ya interview kuwa comfortable kama huna utaratibu wa kuamka asubuhi kunywa chai basi usinywe,jiweke safi hata kama unalipenda sana hilo "Afro" basi japo lipake mafuta uchane nywele ikibidi lipunguze. Si vizuri kwenda na manywele machafu au suruali chini ya makalio.
4) Jitahidi ku make "Eye contact" muangalie anayekuuliza swali kama hujasikia swali au hujaelewa sema. Muombe arudie swali.
5)Ukiulizwa swali ambalo unahisi unaliweza sana usijibu kwa kifupi mwaga utirio hadi wakukubali, coz muda wa interview labda 30 minutes ukishapunguza 10 minutes na maswali yanakuwa machache. Kama swali hujui kabisa sema sijui.
6)Usiwe na kigugumizi kutaja mshahara unaotaka (Fanya ka research kadogo ujue scale zao ili usije kuingia chaka ukapata kazi ukawa unalalamika mshahara mdogo kuliko wenzako au ukakosa kwa sababu hii)
7) Beba vyeti vyako original in case wakihitaji wavione.
8) Wakikupa nafasi ya kuuliza maswali waulize, na vizuri ukiuliza ni lini watakujibu ili ujue kama ni successful au vipi.
9)Usidanganye kwenye Interview au usiweke kwenye CV vitu ambavyo huwezi kuvitetea au qualifications ambazo huna.
10)Hakikisha ma referee wako wanakufahamu na wanafahamu kama wao ni referee's wako, usiweke mtu asiye na taarifa.
Kwa jamaa zangu wanaotafuta kazi japo mzingatie haya machache
1) Hakikisha CV yako ni fupi kwa kadiri inavyowezekana max page 2 ukishindwa kabisa 3 .Kama huwezi kuandika CV tafuta mtu akusaidie.
2)Kabla hujaenda kwenye Interview jaribu kuzungumza na mtu yeyote anayefanya kazi kwenye hiyo taasisi/kampuni muulize yeye alifanya interview ya namna gani kama anakumbuka chukua "desa" hamna tatizo, ukishindwa basi pitia kwenye tovuti yao usome japo mawili tatu ikiwemo mission na vision ni mambo ya msingi haya.
3) Siku ya interview kuwa comfortable kama huna utaratibu wa kuamka asubuhi kunywa chai basi usinywe,jiweke safi hata kama unalipenda sana hilo "Afro" basi japo lipake mafuta uchane nywele ikibidi lipunguze. Si vizuri kwenda na manywele machafu au suruali chini ya makalio.
4) Jitahidi ku make "Eye contact" muangalie anayekuuliza swali kama hujasikia swali au hujaelewa sema. Muombe arudie swali.
5)Ukiulizwa swali ambalo unahisi unaliweza sana usijibu kwa kifupi mwaga utirio hadi wakukubali, coz muda wa interview labda 30 minutes ukishapunguza 10 minutes na maswali yanakuwa machache. Kama swali hujui kabisa sema sijui.
6)Usiwe na kigugumizi kutaja mshahara unaotaka (Fanya ka research kadogo ujue scale zao ili usije kuingia chaka ukapata kazi ukawa unalalamika mshahara mdogo kuliko wenzako au ukakosa kwa sababu hii)
7) Beba vyeti vyako original in case wakihitaji wavione.
8) Wakikupa nafasi ya kuuliza maswali waulize, na vizuri ukiuliza ni lini watakujibu ili ujue kama ni successful au vipi.
9)Usidanganye kwenye Interview au usiweke kwenye CV vitu ambavyo huwezi kuvitetea au qualifications ambazo huna.
10)Hakikisha ma referee wako wanakufahamu na wanafahamu kama wao ni referee's wako, usiweke mtu asiye na taarifa.