Aiyo karibu kwangu ikulu gheto, trump kanicheki anataka anizuru kesho, niende pande za huko niondoe mshtuko anawasiwasi alqaida wameweka kambi huku keko
Mnajiuliza nini eti? Kwani mmesahau Scars hua nakula msosi wenye nembo ya tbs
Na sio uzushi kwa street we muulize mshana mi hua naingia Jf na kiti
nailipa serikali na tambua nahusika kila usikiapo dili kali, usitake nikimbia mi ninapesa nimeajiri majambazi waje kuniibia
Maskini bye bye, nagawa connection hata kama huna WI-FI
Nikiwa club mitungi, wala sidundi na kama unapita ukipunga sipungi
Makuzi ninayo na machizi ambao wanatembea na mbwa mi hua natembea na mbuzi kibao na bado sija loose mafao
Usiumize kichwa kama una pass kwa ubongo, we tambua tu huu ni uongo