Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Na kweli.ugonjwa ushazoeleka
Mie nimebase kibiashara...!..Kwahiyo misaada yote inayotolewa ni kwaajii ya kujionesha tu
Kutoa ni biashara?Mie nimebase kibiashara...!..
Kwamba wameamua kusaidia hivyo vifaa ikiwa muda umeenda...imagine deals zingine za kiserikali hawa lazina wapewe kipaumbele...!..lakini wamechelewa...wangeidaka ikiwa ya moto moto...! Umeelewa au bado?Kutoa ni biashara?
Wenyewe hawana mawazo kama yakoMie nimebase kibiashara...!..
Yes...me nimewaza hukoWenyewe hawana mawazo kama yako
Ndio, na ndio maana wanapotoa misaada lazima watangazeKwahiyo misaada yote inayotolewa ni kwaajii ya kujionesha tu
HatokuelewaKwamba wameamua kusaidia hivyo vifaa ikiwa muda umeenda...imagine deals zingine za kiserikali hawa lazina wapewe kipaumbele...!..lakini wamechelewa...wangeidaka ikiwa ya moto moto...! Umeelewa au bado?
Better late than Never..Namskiliza hapa Kusaga anasema ameamua kusaidia vifaa vya kusaidia wauguzi wa Sekta ya Afya kujikinga na janga hili la Corona.
Kwa jicho la kibiashara mie naona wamechelewa ugonjwa ushazoeleka, hii wangeiwahi ikiwa ya moto moto wakasaidia hizo protective gears ikawapa credits huko mbeleni, yaani makampuni makubwa mmelala sana aisee.
Hii ilikua nitoke vipi! Hapa tutammis tu Ruge!
Ndo pale tunapokamilisha ile sentesiBora wewe umeelewa...ukitaka uwahi hizo deals zao za serikali lazima uwe active sana uende nsambamba na beats zao angekuwepo Ruge week ya kwanza tu angeshacatchup mapema sana...siku Serikali inahitaji support za media nyie mnakuwa wa kwanza kupendelewa!..wamejisahau kucheza kibiashara hawa!...hawapo active tena!
shafii dauda, ndio program meneger pale cloud fmNdo pale tunapokamilisha ile sentesi
Pengo la ruge halitazibika
Hivi Nani anamkaimu kwa Sasa maaana enzi za ruge kusaga alikaa pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, hafikii hata robo ya rugeshafii dauda, ndio program meneger pale cloud fm