Kwa jicho la kibiashara Clouds mlishachelewa

Kwa jicho la kibiashara Clouds mlishachelewa

Wangari Maathai

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2018
Posts
34,962
Reaction score
70,576
Namemsikiliza hapa Kusaga anasema ameamua kusaidia vifaa vya kusaidia wauguzi wa Sekta ya Afya kujikinga na janga hili la Corona.

Kwa jicho la kibiashara mie naona wamechelewa ugonjwa ushazoeleka, hii wangeiwahi ikiwa ya moto moto wakasaidia hizo protective gears ikawapa credits huko mbeleni, yaani makampuni makubwa mmelala sana aisee.

Hii ilikua nitoke vipi! Hapa tutammis tu Ruge!
 


Bora wewe umeelewa...ukitaka uwahi hizo deals zao za serikali lazima uwe active sana uende nsambamba na beats zao angekuwepo Ruge week ya kwanza tu angeshacatchup mapema sana...siku Serikali inahitaji support za media nyie mnakuwa wa kwanza kupendelewa!..wamejisahau kucheza kibiashara hawa!...hawapo active tena!
 
Namskiliza hapa Kusaga anasema ameamua kusaidia vifaa vya kusaidia wauguzi wa Sekta ya Afya kujikinga na janga hili la Corona.

Kwa jicho la kibiashara mie naona wamechelewa ugonjwa ushazoeleka, hii wangeiwahi ikiwa ya moto moto wakasaidia hizo protective gears ikawapa credits huko mbeleni, yaani makampuni makubwa mmelala sana aisee.

Hii ilikua nitoke vipi! Hapa tutammis tu Ruge!
Better late than Never..
 
"wamechelewa ugonjwa ushazoeleka" sijui unamaanisha nini kusema hivyo lakini uhitaji wa vifaa vya kujikinga uko bado mkubwa sn na hata kwa michango yao hawatalimaliza tatizo sasa kuzoeleka unakokusema wewe ni kupi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora wewe umeelewa...ukitaka uwahi hizo deals zao za serikali lazima uwe active sana uende nsambamba na beats zao angekuwepo Ruge week ya kwanza tu angeshacatchup mapema sana...siku Serikali inahitaji support za media nyie mnakuwa wa kwanza kupendelewa!..wamejisahau kucheza kibiashara hawa!...hawapo active tena!
Ndo pale tunapokamilisha ile sentesi

Pengo la ruge halitazibika

Hivi Nani anamkaimu kwa Sasa maaana enzi za ruge kusaga alikaa pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom