Kwa jicho la pekee hebu tutazame projects mbalimbali za hayati Ruge Mutahaba

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
1.smooth vibes project
Hapo walifanikiwa kutoka kimuziki wanamuziki mbalimbali kama jaydee,rayc q chief, mr paul, pauline zongo stara thomas, k basil

2.prime time promotion
Hapa tuliweza kupata matamasha mbali mbali Kama summer jam fiesta na maonyesho ya wanamuziki kenda toka nje ya nchi achilia mbali kusimamia zinduzi kadhaa za album za wanamuziki wa tz

3.piga kura au pigika
Kampeni ya uchaguzi mkuu 2005 ambayo ilimsaidia sana jk hapo ndio ule msemo wa mtoto wa jah kaya ulipoanza

4.THT
Haina haja ya kuzungumzia

5.Malaria no more
Akiwa na bwana makamba

6.kamatia fursa
Hapo wote mnajua impact yake

7.hapa kazi tu
Kauli mbiu aliitoa ruge akisema hapa ni. Kazi tu kabla ya diamond kuboresha kidogo kwa kusema hapa kazi tu wakati wanajiandaa kutengeneza matangazo kwenye uchaguz ule ruge aliratibu mambo mengi sana makamba anajua

8.diamond forever
Onyesho lililompa umaarfu mkubwa diamond ndani ya mliman city na kiwa onyesho la kwanza kuwa na kiingilio bei kidogo

9.Nyumba ni choo
Kampeni ambayo mpaka sasa inaendelea

10.vijana think tank

Na kwa kumalizia
Tatu mzuka ni ya kwake
 
Malkia wa nguvu?
 
11. Bibi bomba

12. Ndondo Cup

13. Mapenzi mubashara ( valentine day's special)

14. Malkia wa nguvu ( international women's day special)

15. Kipepeo

16. Super Nyota ( Young killa aliibukia huku)

17. Mama ongea na mwanao (kampeni 2015, ikiongozwa na steve nyerere na wema sepetu)

Nb.. vijana think tank sio project ya ruge...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndondo cup ni ya shaffih dauda
 
Campaign zote za Clouds ni Idea zake,,Alikua M'noma sana uyu dingilii...R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…