aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
1.smooth vibes project
Hapo walifanikiwa kutoka kimuziki wanamuziki mbalimbali kama jaydee,rayc q chief, mr paul, pauline zongo stara thomas, k basil
2.prime time promotion
Hapa tuliweza kupata matamasha mbali mbali Kama summer jam fiesta na maonyesho ya wanamuziki kenda toka nje ya nchi achilia mbali kusimamia zinduzi kadhaa za album za wanamuziki wa tz
3.piga kura au pigika
Kampeni ya uchaguzi mkuu 2005 ambayo ilimsaidia sana jk hapo ndio ule msemo wa mtoto wa jah kaya ulipoanza
4.THT
Haina haja ya kuzungumzia
5.Malaria no more
Akiwa na bwana makamba
6.kamatia fursa
Hapo wote mnajua impact yake
7.hapa kazi tu
Kauli mbiu aliitoa ruge akisema hapa ni. Kazi tu kabla ya diamond kuboresha kidogo kwa kusema hapa kazi tu wakati wanajiandaa kutengeneza matangazo kwenye uchaguz ule ruge aliratibu mambo mengi sana makamba anajua
8.diamond forever
Onyesho lililompa umaarfu mkubwa diamond ndani ya mliman city na kiwa onyesho la kwanza kuwa na kiingilio bei kidogo
9.Nyumba ni choo
Kampeni ambayo mpaka sasa inaendelea
10.vijana think tank
Na kwa kumalizia
Tatu mzuka ni ya kwake
Hapo walifanikiwa kutoka kimuziki wanamuziki mbalimbali kama jaydee,rayc q chief, mr paul, pauline zongo stara thomas, k basil
2.prime time promotion
Hapa tuliweza kupata matamasha mbali mbali Kama summer jam fiesta na maonyesho ya wanamuziki kenda toka nje ya nchi achilia mbali kusimamia zinduzi kadhaa za album za wanamuziki wa tz
3.piga kura au pigika
Kampeni ya uchaguzi mkuu 2005 ambayo ilimsaidia sana jk hapo ndio ule msemo wa mtoto wa jah kaya ulipoanza
4.THT
Haina haja ya kuzungumzia
5.Malaria no more
Akiwa na bwana makamba
6.kamatia fursa
Hapo wote mnajua impact yake
7.hapa kazi tu
Kauli mbiu aliitoa ruge akisema hapa ni. Kazi tu kabla ya diamond kuboresha kidogo kwa kusema hapa kazi tu wakati wanajiandaa kutengeneza matangazo kwenye uchaguz ule ruge aliratibu mambo mengi sana makamba anajua
8.diamond forever
Onyesho lililompa umaarfu mkubwa diamond ndani ya mliman city na kiwa onyesho la kwanza kuwa na kiingilio bei kidogo
9.Nyumba ni choo
Kampeni ambayo mpaka sasa inaendelea
10.vijana think tank
Na kwa kumalizia
Tatu mzuka ni ya kwake