Kwa Neema yake nimeshapata wokovu.Mwenzio kapata nafasi ya kutubu dhambi zake na kuongozwa sala ya toba na Mtumishi wa Mungu na kumpokea Mungu, ni dhahiri anakwenda mahali patakatifu kwa mujbu wa maandiko. Wewe unajua kama hiyo nafasi utaipata?? R.I.P boss Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app