Kwa Neema yake nimeshapata wokovu.Mwenzio kapata nafasi ya kutubu dhambi zake na kuongozwa sala ya toba na Mtumishi wa Mungu na kumpokea Mungu, ni dhahiri anakwenda mahali patakatifu kwa mujbu wa maandiko. Wewe unajua kama hiyo nafasi utaipata?? R.I.P boss Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Ki ukwel jamaa anapata sifa zingine si zake. Alichokua anafanya ruge ni kwekeza katika kuanzisha/ kujuisha idea coz alikua ana uwezo. Mfano ni hiyo bibi bomba, idea kaiskiliza toka kwa mtu, akaita vijana wake wa creative team wakaiweka alivyotaka yeye.
Alichokua anafanya jamaaa ni kukusikiliza, halaf anaenda kuitwist, then anainitiate.
Mi namuita mjanja mjanja.
Kichwa analila demu? Miaka 49 kichwa anatoa makamasi kulilia kademu tena kademu used!
Acha unafiki.Wavumilie kwa muda kidogo akishawekwa kwenye nyumba yake ya milele wajitanue sasa maana unyonyaji hautakuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Katubu lini? Aliowaumiza aliwaomba msamaha?Mwenzio kapata nafasi ya kutubu dhambi zake na kuongozwa sala ya toba na Mtumishi wa Mungu na kumpokea Mungu, ni dhahiri anakwenda mahali patakatifu kwa mujbu wa maandiko. Wewe unajua kama hiyo nafasi utaipata?? R.I.P boss Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka akulilie wewe?Kichwa analila demu? Miaka 49 kichwa anatoa makamasi kulilia kademu tena kademu used!
Sent using Jamii Forums mobile app