Kwa jina la Utawala Bora na Kuwajibishana, hawa Mawaziri kuwa NEC ya CCM ni makosa na aibu

Kwa jina la Utawala Bora na Kuwajibishana, hawa Mawaziri kuwa NEC ya CCM ni makosa na aibu

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
1. Dotto Biketo (MNEC)
2. Januari Makamba (MNEC)
3. Mwigulu Nchemba (MNEC)
4. Nape Nauye (MNEC)
5. Angelina Mabula (MNEC)
6. Ashatu Kijaji (MNEC)
7. Angela Kairuki(MNEC)
8. Hussein Bashe(MNEC)
9. Innocent Bashungwa (MNEC)
 
Innocent Bashungwa kaachwa kwa makusudi na Je, hao ndio walengwa waliokusudiwa?

Naomba nikutue wasiwasi ,NEC ya CCM ni chombo kikubwa sana na linapokuja suala la nidhamu na maadili la hao mawaziri ambao pia ni wajumbe wa NEC litajadiliwa na hatua kuchukuliwa bila mtu kuangaliwa usoni.

Na pia nafasi walizogombea za U-NEC haziwapi guarantee kwa uwaziri na wala hazitegemeani.
 
Innocent Bashungwa kaachwa kwa makusudi na Je, hao ndio walengwa waliokusudiwa?

Naomba nikutue wasiwasi ,NEC ya CCM ni chombo kikubwa sana na linapokuja suala la nidhamu na maadili la hao mawaziri ambao pia ni wajumbe wa NEC litajadiliwa na hatua kuchukuliwa bila mtu kuangaliwa usoni.

Na pia nafasi walizogombea za U-NEC haziwapi guarantee kwa uwaziri na wala hazitegemeani.
Mkuu asante nimemuuongeza kwenye orodha
 
Back
Top Bottom